> MAPENZI

Usikate tamaa ya kumpata yule umpendae, Jifunze hapa

Kati ya vitu muhimu katika maisha ya binadamu ni pamoja na ndoa. Ni tendo la muunganiko ambalo linaongeza thamani, heshima na utu mbele ya jamii inayokuzunguka. Wengi wanatamani sana kupata wenzi.
Pamoja na ukweli huo, zipo changamoto ambazo husababisha kuchelewa kupata au kumpata mbabaishaji ambaye hana lengo la dhati.

Wapo wasichana warembo, wanaume watanashati sana, lakini kila wanapokuwa kwenye uhusiano, wanagundua kwamba wapo na watu ambao ‘bado wanazuga’. Hawana mpango wa kuingia kwenye muunganiko wa ndoa.
Hapo ndipo panapotokea kuachana. Rafiki yangu, kuacha, kuacha au kuachana mara kwa mara, kunasababisha sononeko la moyo. Kunakaribisha simanzi na mwisho wake, mhusika hukata tamaa ya kupata mwenzi wa maisha.
Inawezekana kabisa, hata wewe uko kwenye kundi hili. Aaaah! Usihuzunike, anza sasa kutabasamu, maana unakwenda kukutana na dawa baada ya kumaliza kusoma mada hii.


ANZA KUJIJALI
Maumivu ya kuachwa kila wakati, yanaweza kusababisha kutokujiweka ‘sopsop’, kitu ambacho ni tatizo kubwa sana. Sahau maumivu yote, angalia maisha yako yajayo. Rafiki yangu, hivi unadhani kama hujipendi, hujithamini nani atakupenda?
Ninaposema ujipende namaanisha ujipe upendo ule wa kawaida wewe mwenyewe kabla ya kuhitaji upendo wa mtu mwingine. Mwingine inawezekana hajitunzi, anavaa nguo chafu, hapigi pasi, nywele zipo timtim n.k
Nani atakupenda kwa misingi hiyo? Hakuna anayependa kuwa na mtu ambaye hana desturi ya usafi, kwanza hata kama ni mzuri kiasi gani unapokuwa upo rafu, hakuna mtu ambaye atausumbua moyo wake kuanza kukufikiria wewe usiyejipenda.
Siyo lazima wakati wote uwe ‘smati’, kwa kuwa inawezekana wengine wanafanya kazi ambazo zinawalazimu kuvaa nguo chafu, lakini baada ya hapo, unatakiwa kuwa katika hali ya usafi.
Upande wa wasichana siyo lazima uweke nywele zako dawa au usuke rasta wakati vitu hivyo huna uwezo navyo, unaweza ukasuka nywele zako vizuri au wakati mwingine ukanyoa mtindo mzuri unaokubalika ambao hautakuweka katika mtazamo mbaya kwa jamii.
Anza kujipenda kabla ya kuhitaji upendo kutoka kwa mtu mwingine, hiyo itakusaidia kuwa na mvuto na mwonekano mzuri kiasi cha kuweza kumpagawisha mtu mwingine kuanza kuhisi cheche za moto wa mapenzi katika moyo wake.
Safiri na neno hili, huhitaji tena mateso katika maisha yako. Sawa jamani? Haya, tuendelee.

KUJIAMINI NI MUHIMU
Hili ni tatizo la kisaikolojia zaidi kwa sababu kuna baadhi ya watu wanakosa kujiamini. Kuna mwingine anaweza akakaa kwenye kioo kwa saa kadhaa na kuanza kujitoa kasoro katika mwili wake.
Hujiona mbaya asiyevutia na ambaye hana thamani kabisa katika ulimwengu wa mapenzi, hujiona hawezi kupata mpenzi katika maisha yake yote baada ya kujitoa kasoro hizo. Mwingine hujiona ana matiti mabaya, mfupi sana, mrefu sana ana matege, ana makengeza na kasoro nyingine zozote ambazo huhisi ni kosa kuwa nazo.
Nani amekuambia kuwa una kasoro? Mshukuru Mungu kwa kukuumba jinsi ulivyo, amini kuwa Mungu ana makusudi yake kukuumba kama ulivyo.
Kuna watu wengine wanaweza kukupenda kutokana na hizo kasoro unazoziona katika mwili wako!
Kujitoa kasoro na kutojiamini ni kosa kwa kuwa unakuwa unajiathiri kisaikolojia na kujiona hufai kupendwa mwisho wa yote unakuja kumparamia mtu yeyote kwa nia ya kujiondolea mkosi na akishakutumia anakuacha solemba unabaki na machungu moyoni na kujiongezea matatizo zaidi.
Naamini baada ya kujipenda wewe na kujiamini kuwa unavutia, utakuwa katika hali ya kawaida kisaikolojia na wakati mwingine anaweza akajitokeza akupendaye na kukuomba hifadhi ya moyo wake kwako.
Sababu ya kukaa muda mrefu bila mpenzi au kutamkiwa kuwa unapendwa isiwe chanzo cha kupata maumivu mapya ya moyo. Kuachwa kwako, kusiwe chanzo cha kuingia kwa mwingine ambaye anaweza kuwa mwiba zaidi.
Acha papara, tulia, pata wasaa wa kumchunguza huyo anayedai anakupenda kwa muda wa kutosha kwa kuwa inawezekana naye akawa ni mmoja kati ya wale wanaotaka kukufanya chombo cha starehe!
Akikuhitaji kuwa na wewe (huyo mwanaume)lazima umchunguze kwanza na usiruhusu aujue mwili wako kabla ya kuelewa nia yake hasa kwako ni ipi; starehe ya muda mfupi au anakuhitaji kimaisha.
Usifanye mambo kwa papara, unahitaji utulivu wa kutosha ili uweze kumpata yule ambaye ni muhimu kwa ajili yako.
Ukijiamini na kuwa makini ni wazi kuwa utampata yule anayekupenda kwa dhati.

Mapenzi! Ukitaka furaha,Gharamia kwanza furaha ya mwenzi wako..

Sanaa ya busara katika maisha inajumuisha vitu vinne: Nia na malengo, Mungu ana nafasi yake, hatua chanya na mafanikio endelevu. Ukikaribisha busara kama kanuni yako ya kuishi, maana yake unahitaji amani na furaha.

Ukitaka kuishi kwa busara ni lazima uwe na mtazamo wenye furaha. Lazima uingalie dunia kwa fikra na macho, angalia jinsi watu wengine wanavyosononeka kwa kuikosa, halafu chukua mfano wa wanaoshi kwa amani yenye afya.

Unapoitazama dunia kwa fikra, hapo unapaswa kubeba ufahamu wa uchafu mgumu uliopo. Fikra zinakuja kutokana na kumbukumbu ambazo hutafsiri uzoefu wa nyuma ambao utakupa mwanga wa hali ya sasa. Hatua hizo zinatakiwa kutoa muongozo katika kuandaa furaha.
Mwandishi wa saikolojia, Swami Sukhabodhanda katika makala yake yenye kichwa “Love and Happiness: Art of Wise Living Brings Great Joy” ameandika:

“Mtu sahihi ni yule anayejifunza kupunguza msongo wa mawazo, Anayejifunza kuongeza furaha na kupanua uwezo wake.”
Hii ina maana kuwa kutafuta furaha ni wajibu wako, lakini swali la kujiuliza ni hili, mwenzi wako akiwa hana amani wewe utaipata wapi? Akiwa amekasirika utaweza kucheka? Jibu ni kwamba haiwezekani na endapo moyo wako una amani wakati mwenzako amejikunja, ni wazi kwamba penzi lenu limejaa mashaka.

Hivyo basi, naungana na Swami kushauri kwamba ni lazima kila mtu ajifunze kupunguza msongo wa mawazo na kuongeza furaha. Ukifanikiwa kuiweka chanya furaha ya mwenzi wako na yako itapatikana. Zingatia msemo kuwa ninyi ni kitu kimoja wewe ni yeye!

Watu wengi wamekuwa wakishindwa kustawisha uhusiano wao kwa sababu wanashindwa kuishi ndani ya wenzao. Wanatenda mambo ambayo yanawaumiza wenzi wao bila kujiuliza. Hawana malengo chanya!

Mtu mwenye malengo mazuri katika mapenzi ni yule ambaye anajiuliza kabla ya kuzungumza au kutenda. Anatafakari kauli au kitendo na matokeo yake. Pointi kuu ni mapokeo ya mwenzi wake. Ni kosa kufanya tukio lolote au kutoa matamshi yanayoweza kumuudhi mwenzako.

Ni lazima uwe na angalizo kwamba kwako linaweza kuwa dogo lakini kwa mwenzako ni kubwa. Heshimu kosa lolote kwamba linaweza kuhatarisha uhusiano wako, kwa hiyo jichunge kila eneo.

Wewe ni mtu tu duniani, inawezekana uzito wako ni mdogo. Ukiwepo na usiwepo taifa halisomi upungufu wowote! Hata hivyo, kupitia mapenzi wewe ni dunia mbele ya mwenzi wako. Kila kitu hakina thamani kwake bila uwepo wake, kwa hiyo heshimu hisia zake, ingia gharama kumletea furaha.

Nimeeleza hapo juu kuwa mfumo sahihi wa mapenzi ni kuishi ndani ya mwenzake. Yaani kuzijulia hisia zake na kujenga nidhamu ya kuepuka kumpa maumivu yasiyo na sababu. Unaelewa kuwa mwenzako hapendi uchelewe kurudi nyumbani, kwa hiyo usifanye makusudi kuchelewa mitaani.

Ni kweli unapenda kuketi na wafanyakazi wenzako au marafiki mkipata za moto na baridi baada ya kazi. Lakini wakati unatekeleza hilo, kwa kila hatua jiulize, je, hicho ndicho ambacho mwenzi wako anakihitaji? Kama ndiyo basi fanya, ikiwa jibu ni kinyume chake, changamsha miguu umuwahi nyumbani.

Jiulize swali; Kuna sababu gani ya kugandana na marafiki mitaani wakati mwenzako amenuna nyumbani? Jiongeze lingine; Mtakapokuwa ‘mnaparurana’ nyumbani hao unaowaendekeza watakuwepo? Pengine wakati wao wanalala usingizi mzuri, wewe kwako hakulaliki.

Tafakari; Kuna mambo mengi ambayo mnachangia pamoja, ulimwengu ambao unapita naye ni usiku wa giza kwa wengine. Hulioni kama hilo ni maalum? Tambua thamani ya mwenzi wako, hivyo tekeleza furaha yake na umtimizie kwa vipimo sahihi.

Furaha ya mpenzi wako ni gharama, kwa hiyo unahitaji kujipanga ili kumtimizia. Katika uhusiano wa kimapenzi, hauna cha kupoteza kwa kugharamia amani na furaha ya mpenzi wako. Umegundua kwamba ili mwenzio awe sawa ni lazima uende Zanzibar, uwezo upo fanya hivyo!

Tafsiri yake ni kuwa unatakiwa kufanya kila linalowezekana ili mpenzi wako awe na furaha. Sifa ya ubabe na kupuuza hisia za mwenzi wako haina maana. Ukimpuuza leo, maana yake unataka kesho akupuuze. Akikutenda wewe utafurahi? Usingoje msemo wa mkuki kwa nguruwe ukufike!

Zipo hasara nyingi ambazo unaweza kukutana nazo endapo utashindwa kugharamia furaha ya mwenzi wako. Hii inamaana kuwa ni vema unisome vizuri ili ujifunze.

Asilimia kubwa ya watu ambao wapo kwenye uhusiano wa kimapenzi, husumbuliwa na tatizo la kutotengeneza penzi. Wakiongozwa na msemo kuwa kila kitu hupangwa na Mungu, nao huacha mapenzi yao yaende kama yalivyo. Hawaamini kuwa barabara ilichongwa, ndiyo magari yakapita.

Ukiona vyaelea ujue vimeundwa! Hii inamaana kuwa kila kinachostawi, nyuma yake kuna ujenzi uliofanyika. Usimuone babu na bibi wanasherehekea miaka 50 ya ndoa yao ukadhani ni jambo lililokuja lenyewe. Kuna mambo ya msingi ambayo waliyafanya kuhakikisha wanadumu mpaka kuzikana.

Ukiwa mwingi wa hasira, matatizo yanayotokea hutaki kuyaweka mezani ili myajadili na kuyamaliza, kila siku utakuwa unabadili uhusiano. La! Hutabadili lakini utabaki kwenye penzi ambalo unaishi bila amani. Huna furaha! Ni mpenzi lakini hamfungamani, mnakuwa kama wapinzani wa jadi!

Uhusiano bora ni ule ambao wanaoujenga ni watu makini na ambao wanajua nini ambacho wanakifanya. Wenye kufahamu thamani ya penzi lao kila mmoja anaheshimu umuhimu wa mwenzake. Wanaoguswa kutoa chochote kuhakikisha wanaendelea kuwa bora kimapenzi.

Hii ndiyo sababu ya kukutaka uhangaike na ikiwezekana utumie gharama yoyote ili mwenzi wako awe na furaha. Utengeneze thamani yako kwake, kiasi kwamba akikuona aone mbele yake kasimama mtu aliyeishikilia dunia yake. Inawezekana! Mapenzi ni ujanja, utundu, kuguswa na kujitolea!

Huna sababu ya kushindwa kugharamia furaha ya mwenzi wako kwa sababu ukiacha gharama yake ni kubwa. Utakosa kila kitu muhimu ambacho mtu sahihi angependa kupata kutoka kwa mwenzi wake. Na hiyo itakusumbua! Kama hutafikiria, basi utaona kwa wengine na utatamani!

Hapa chini nakuchambulia hasara ambazo unaweza kukutana nazo kwa kushindwa kuhudumia furaha ya mwenzi wako;

UTAKOSA AMANI
Misongo (stresses) ya kimaisha inatesa. Inawezekana unafanya kazi sana. Wakati mwingine masuala ya kiofisi au biashara hayaendi kama inavyotakiwa. Unashinda siku nzima ukipigana kuhakikisha unaendelea mbele. Iwe umeajiriwa, umejiajiri au umeajiri! Kichwa hakitulii mpaka unahisi ni kizito.

Kufikia hapo, bila shaka unahitaji faraja. Ni kipindi ambacho huhitaji mwenzi sahihi ili aweze kukusahaulisha matatizo ya kimaisha. Mtu ambaye anakujua ulivyo, kwa hiyo inamuwia rahisi kutambua kwamba upo kwenye matatizo na kuchukua hatua zinazofaa kurekebisha hali.

Fikiria kwamba ukiwa katika hali hiyo, unarudi nyumbani ambako unakutana na moto mwingine. Amani hakuna! Kichwa chako kinaweza kuchanganyikiwa. Kama sivyo, maradhi ya moyo yatakunyemelea. Kupata kilicho bora, kiandae. Lima shamba na kupalilia ili upate mavuno mazuri.

Ukifanikiwa kumuweka mwenzi wako katika hali ya furaha, utapata faraja muda wote. Yakikufika, ukirejea nyumbani utakuta amani. Utakutana na tiba ya msongo wa mawazo ulionao. Hiyo ndiyo tafsiri ya upendo, kwa hiyo usije kukosa utulivu wa moyo. Anza leo kumfurahisha ili naye akupe mahaba tele!

UTACHOKWA HARAKA
Hakuna kitu kibaya kwenye mapenzi kama mtu kuchokwa na mwenzi wake. Lakini hilo siyo zito, ni rahisi mno kama hutoamua kushughulikia kasoro ulizonazo.

Huna ubunifu, mwenzi wako haoni kitu chochote kipya. Mwenzi wako hana furaha wewe hujishughulishi. Ataanza kukuona ni mzigo na mwisho atakuchoka. Usikubali hali hiyo ikutokee, anza leo! Maisha ya kimapenzi ni mazuri sana endapo utaamua.

MTASHINDWA KUJADILIANA
Mwenzi wako hana furaha, wewe unaingia mlango huu naye anapitia ule. Hayo ni maisha mabaya mno! Mnapatwa na mambo ambayo mngependa kushauriana, lakini mnashindwa kufanya hivyo kwa sababu mnaishi kama Simba na Yanga.

Kuna watu wanaishi kwa kalamu, wanalala mzungu wa nne! Kama matumizi, yanawekwa mezani, akitaka kutoa agizo anaandika ‘kimemo’ na kukiacha juu ya stuli! Hawaguswi kutafuta furaha yao, hawataki kuzungumza na kumaliza tofauti zao.

Matokeo yake ni siri za ndani kuzagaa mitaani. Hili likikufika ni sawa na msiba. Chukua hatua!

HUTAPATA HUDUMA BORA
Mwenzi wako anahitaji kuwa na furaha ili aweze kukupa huduma bora. Amini kwamba mwenzi wako ndiye ambaye anaweza kukufanya hii dunia uione yote ni yako. Changamka leo!

Unahitaji huduma bora kutoka kwa mwenzi wako, na hilo anaweza kulitimiza endapo atakuwa na furaha dhidi yako. Hii inamaana kwamba kuanzia sasa, punguza maudhi kwa mwenzi wako na umzidishie amani. Akupende na aamini ndani ya nafsi yake kwamba wewe ndiye mtu bora zaidi maishani mwake.

Ukimfurahisha, atakupa huduma bora ambayo huwezi kuipata popote. Bila shaka atakapokuhudumia, nawe utajiona umepata mwenzi sahihi wa maisha yako. Hayo ndiyo mapenzi. Yakistawishwa hustawi!

Mambo 5 ya kuzingatia katika Mapenzi

1. Uaminifu:
Katika maisha ya uhusiano, mpaka mnaamua kuwa wawili ina maana mmekubali kwa ridhaa yenu. Mmewaacha wengi na kuamua kuwa pamoja, hivyo mnatakiwa kulilinda penzi lenu kwa kuwa waaminifu.

2. Tabia nzuri:
Hii ndiyo inayobeba uwakilishi wa mwanadamu ndani ya nyumba, ndiyo nguzo imara ambayo itakufanya usimame popote kwa kujiamini.
Katika hili wengi hukosea wanapojiona wana sura na umbile zuri au fedha, basi huanza kuwanyanyasa wenzao kwa kujivunia walivyonavyo na kusahau hakuna kiumbe kilichoumbwa kwa ajili ya kukasirishwa.
Mara nyingi uhusiano wa watu huvunjika kutokana na tabia ya mmoja kuwa mbaya isiyovumilika.

3. Huruma:
Ndani ya uhusiano, huruma ni kitu muhimu sana, ukiwa nao, huwezi kumuumiza mwenzako.
Nyumba yenye huruma kwa wapendanao hudumu milele na kutenganishwa na kifo. Asiyekuwa na huruma, hufanya jambo lolote bila kujali maumivu ya mwenzake.

4. Upendo:
Huu ndiyo unaobeba kila kitu kwa vile mwenye upendo ana huruma, ni mvumilivu na tabia njema ndiyo asili yake. Wote mkiwa na upendo hata familia yenu itakuwa yenye tabia nzuri.
Hapa mara nyingi kumekuwa na tatizo kwa baadhi ya watu kuchagua watu hasa wanawake kuchukia ndugu wa mume na mwisho wa siku ndoa huvunjika.

5. Uvumilivu:
Huu ndiyo muhimu katika maisha yetu ya kila siku, wengi wasio wavumilivu, wamekuwa wakitengana na wenzao. Kuna vitu ambavyo tunatakiwa tuvumiliane kwa vile wanadamu ni viumbe wenye upungufu.
Kukosana ni sehemu ya maisha, lazima mvumiliane, mtangulize kusameheana na kuyasahau yaliyopita. Yapo ya kuvumilia, lakini si yaliyovuka mipaka kwa mtu kushindwa kujirekebisha.

Hot photos of the day




Hivi ni kwanin Zari ajaonyesha sura ya mtoto wake mpaka leo????

Zari's baby, @princess_latiffah is less than 10 days old but the socialite is not about to show her daughter's face. The fans want to know whose features the celebrity baby with close to 90,000 followers on Instagram has taken.

However, Zari and Tanzania's Diamond Platnumz are still weighing the options before the fans can eventually see the beautiful princess. What is causing the delay?
Media houses - Publishers in TZ are not offering enough otherwise, the pics could be all over by now.
Wema Sepetu camp - Wema Sepetu's camp has released a doctored pic of a baby they are calling Latiffah, so as a way of countering them, Zari will continue to hide the baby's face rendering those in circulation null and void.

Who does the baby look like? - The fans want to see if they can see certain traits of the baby having a spitting image of her dad or whether at all she resembles Zari's previous partners considering that it's only a matter of hours when Zari dumped Farouk to start dating Diamond Platnumz.

It's still too early - If Latiffah's overall resemblance was that of Platnumz, the pic would be already on social networks leaked by none other than her mom but chances are this is not the case, so they will wait a little longer to see if she could look like the father, it's then that the pic will start doing rounds.
Zari-Ivan-Lawrence drama - A few days back, Ivan's half brother, King Lawrence shared a pic of him and Zari's ex hubby Ivan Ssemwanga chilling which he captioned as; "Chilling with Tiffah's father," now this line has a caused a storm in TZ  with one of the dailies having a screaming headline; "TIFFAH SI MTOTO WA DIAMOND" translated as Tiffah is not Diamond's child.
This has left Zari with no choice but to reach out to her swahili speaking followers to let them know that the baby out there is not Tiffah

Nimemdanganya boyfriend wangu mimi ni Bikira na kaamini...Tatizo je akigundua.....

I am a 22-year-old university student. I came to university with my v*rg*nity intact.

After being here for a few months, I am no longer a v*rg*n and I have had s*x with three different guys, none of them I can call my boyfriend. I have a boyfriend. He is five years older than I am. We were both Christians. We kissed but never had s*x. I can no longer consider myself a Christian. Whenever he calls me, I don't know what to talk to him about because I feel so guilty. I told him he should forget me because I have changed, but I didn't tell how I have.

My roommate got me into drinking and having s*x with guys. One weekend my roommate had s*x with two different guys. We talked about it. Sometimes she goes to the guys' room and have s*x with them. I love her because she is good to me. I suffer from pr*m*nstrual pain and she helps me during my time of the month. Sometimes I think she has made me a very bad girl.

My boyfriend still thinks I am a virgin. Should I still tell him I am not and he should take his mind off me? 

Aina 5 za wasichana ambao mwanaume upaswi kuoa

1. The Material Girl. She’s all about the money, honey. She’s checking out your car, level of professional success, and bank account before — and in all likelihood, instead of — seeing and appreciating the real you on dates. If you don’t escape her soon, you’ll start to feel like the most important parts of you are found in your wallet and/or bank account. It’s a dehumanizing experience to date this kind of woman, so why bother?

2. The Queen of Dependence. This lady is usually attractive, sweet, and open (yes, those are her good qualities). But she can’t make up her mind about what to have for dinner, let alone take a stand on making more important decisions in her life. From the minute the two of you meet, she’s leaning on you for advice and answers to every trivial question she encounters. She wants you to be crowned “King of All Her Choices,” but ruling over that kingdom gets old really, really fast. Next thing you know, you’re bored with doing all the mental work of managing her life for her… and then wondering why you feel so disengaged.

3. Ms. Criti-catastrophe. This woman’s got what professionals call an “overly developed critical super-ego.” In layman’s terms, she’s a nitpicker extraordinaire. It’s the way you drive, style your hair and clothes, the guys you hang out with, the seats you grab at the movie… nothing you do will ever be quite right, in her opinion. The first thing to go after a few dates with her is your self-esteem. Clearly, you’re already a failure in her eyes — and if you don’t look away from her judgmental gaze pretty fast, you’ll see your own reflection there and internalize her damaging opinions as if they were your own.

4. The Bitter Girl.
This woman is quick to let you know that everything sucks, and she’s so mistreated by everyone. However, you didn’t cause Bitter Girl’s troubles — and you can’t cure them, either. In fact, you’ll be her next excuse for why things are going so horribly wrong in her life. Your real nightmare begins when once-positive nature gets overwhelmed by her perpetually gloomy outlook and daily dose of misery.

5. Miss Demeanor. She might have a mighty fine look and smile, but she’s also got quite a demeanor to go with those assets… and here’s what I mean by this: “da nicer you are, da meaner she is.” Her harsh attitude makes a pretty poor impression on others when you’re out in public. Oh sure, when you’re alone together she can be fun and pleasant enough. But put her in a situation where she’s not the star of the show and she becomes cranky, outwardly irritable, and has no interest in integrating into your life when you’re clearly just a bit player in hers. The longer you’re with her, the quieter you’ll become, lest you risk unleashing the beast (e.g., her mouth, shrieking one of her infamous tirades).

QUOTE: Love is friendship that has caught fire. It is quiet understanding, mutual confidence, sharing and forgiving. It is loyalty through good and bad times. It settles for less than perfection and makes allowances for human weaknesses.

Video: She Wanted Money, She Got Pains. Look At What A Man Did To Her

OMG! Makalio ya mwanamke yasinyaa baada ya kutumia madawa ya kuyaongeza....Tujifunze kutokana na makosa

A woman has spoken of her heartache after spending her life savings on a ‘booty job’ bum lift operation – only for the surgeon to bungle it and leave her in agony and unable to sit down.
Heidi Faulkner, 36, from Hertfordshire, decided to have the procedure after slimming down from 16st to 8st over three years with the help of a gastric band.
Although overjoyed to be a size six, Ms Faulkner says the dramatic weight loss left her with a ‘wrinkly granny bum’.

Horrified: Ms Faulkner, who has since had some of the damage repaired, said her rear looked ‘horrific’
‘I lost so much weight I looked ill and had to have a break from the [gastric] band,’ she explains. ‘But I went from a size six to a 14 in weeks before having the band fixed and losing weight again.
‘The fluctuation in my weight left me with loose skin on my stomach and legs and wrinkly folds and sagging skin around my hips and bum.
‘I was a 30-something with the body of an 80-something old woman. My son used to say, “Mum, it looks like your bum has melted”. My skin looked like candle wax dripping down the back of my legs.
‘It had no shape, my buttocks were flat and exercise wasn’t making any difference.’
Determined to do something about it, the mother-of-one saved £2,000 and jetted to Prague for cut-price cosmetic surgery.
Having previously had a tummy tuck at the same clinic, Ms Faulkner says she had no qualms about her bottom lift beforehand but was aghast when she awoke to see two huge scars across her buttocks.
‘When I looked in the mirror I could see these two enormous diagonal scars right across my misshapen buttocks,’ she remembers.
‘I thought I must be having a nightmare or the drugs were affecting me. Then, I heard someone screaming, and realised it was me.
‘It looked just like a shark had come and taken a massive bite out of my bum. It was horrific. They called the surgeon who said it would be fine when the swelling went down.
‘But swelling should have plumped my bum up – and this looked like a chunk had been taken out.’


She added: ‘I was on my own in Prague and didn’t know what to do, who to talk to. All I’d wanted was to stop feeling embarrassed about my body – now I’d made things worse.’
Worse still, the surgeon had removed so much fat, her coccyx (tailbone) was left exposed with the result that sitting down became painful.
Having spent her life savings on gastric band, tummy tuck and botched bottom surgery, Ms Faulkner was also in the unenviable position of having no spare cash to fix the problem.
Instead, she turned to Channel 5 reality series Botched Up Bodies and was sent to see Harley Street surgeon Patrick Mallucci.
Fixing the damage required an operation that lasted for almost three hours and involved taking fat from Ms Faulkner’s knees and thighs and using it to pad her bottom back out.


Improvement: Ms Faulkner has since gone under the knife again to improve the appearance of her bottom
Although still not entirely confident about her body thanks to the scarring, Ms Faulkner says the operation has ‘changed my life for the better’.
‘The pain has gone and I can sit again,’ she explains. ‘I’m doing lots of squats to build up the muscles and improve the shape.
‘Aesthetically, I still wish my bum looked better – but the damage done in Prague was pretty hard to fix.’

Wiki Ya Mtikisiko: Lowassa na Timu Yake Wasubiriwa kwa Hamu UKAWA.......Zaidi ya Viongozi 950 Wa CCM Kutimkia CHADEMA Wiki hii

Ni wiki ya mtikisiko. Hivi ndiyo unavyoweza kuelezea hali itakavyokuwa nchini kutokana na matukio makubwa ya kisiasa yanayotazamiwa kutokea ndani ya wiki inayoanza leo ambayo yanaweza kubadili mwelekeo wa siasa za Tanzania.

Hali hiyo inatokana na vuguvugu la kisiasa linalohusisha viongozi wenye ushawishi kuhama vyama vyao vya siasa na kutimkia kwenye vyama vingine, ikiwa ni siku chache kabla ya kufanyika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu.

Ni wiki ambayo itapambwa na matokeo ya kikao cha Baraza Kuu la Uongozi wa CUF kilichofanyika jana mjini Zanzibar kuhusu mustakabali wake ndani ya Ukawa, ikizingatiwa kuwa hivi karibuni chama hicho kiliamua kujiweka kando ya vikao vya umoja huo hadi vikao vya juu viamue.

Hata hivyo, habari ambazo tumezipata zinasema kuwa uwezekano wa chama hicho kujitoa ndani ya Ukawa ulikuwa mdogo kutokana na kuogopa hasira za wananchi wenye matumaini na umoja huo.

Aidha, kulikuwa na taarifa kuwa kikao cha jana kilikuwa kinaangalia jinsi watakavyoshiriki katika umoja huo na kwamba kulikuwa na matumaini makubwa.

Vile vile, hii ni wiki ambayo kura za maoni zinazoendelea katika vyama vikubwa vya siasa, kuonyesha baadhi ya vigogo wakiangushwa na kujaribu kutafuta upenyo wa madaraka katika vyama vingine.

Pia, ni wiki ambayo chama kikuu cha upinzani, Chadema kimeamua kusogeza mbele tarehe za kuchukua na kurejesha fomu za kuomba kuteuliwa kugombea urais kutoka jana hadi Ijumaa, katika kile kinachotazamwa kama kusubiri mchakato wa kumpata mgombea urais.

Kana kwamba hiyo haitoshi, hii ni wiki ambayo minong’ono ya waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa ambaye jina lake limekatwa katika orodha ya wasaka urais wa CCM anaweza kuhamia Chadema.

Tayari baadhi ya viashiria vya hali hiyo vimeanza kuonekana ambapo wiki iliyopita wabunge wawili wa chama tawala cha CCM, James Lembeli na Ester Bulaya waliachana na chama hicho na kujiunga na Chadema huku chama hicho cha upinzani kikitamba kujiandaa kuwapokea vigogo wengine zaidi.

Kiashiria kingine cha mtikisiko ni hatua ya madiwani 18 wa CCM wilayani Monduli na wengine 10 wa UDP na CCM Bariadi kuhamia Chadema.

Lakini pia wapo wabunge na madiwani wanaohama Chadema kwenda chama cha ACT-Wazalendo.

Vuguvugu hilo la kisiasa limekolezwa na kauli za wanasiasa wawili vijana kwa nyakati tofauti, Godbless Lema na Zitto Kabwe kuwa wiki hii itakuwa ya mshikemshike kutokana na mambo yaliyopangwa kufanyika.

Zitto: Ni wiki ya mabadiliko
Akiandika kwenye kurasa zake za Facebook na Twitter jana, Zitto alisema, “Wiki ya kuanzia Jumatatu tarehe 27 Julai 2015 itashuhudia mabadiliko makubwa sana kwenye siasa za Tanzania. Kuimarika kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa ni jambo jema kwa nchi yetu.”

Alipotakiwa kufafanua kauli yake, Zitto hakutaka kutaja matukio husika, lakini alisisitiza kuwa mtikisiko wa kisiasa utatokea na mazingira ya hali hiyo yataanza kubadilika kuanza kesho.

“Na huu ujumbe nilioandika hauna uhusiano na chama cha ACT-Wazalendo,” alisema.

Alipotakiwa kufafanua zaidi, alisema “Watanzania wasubiri mabadiliko ya siasa za Tanzania.”

Lema asema ni mtikisiko
Kwa upande wake Lema, akiwa jimboni kwake Arusha, alisema wiki hii itakuwa ya mtikisiko kwa CCM kwa sababu zaidi ya viongozi wake 950 kuanzia ngazi ya kata, wilaya, mkoa na taifa watahamia Chadema.

Akizungumza wakati wa kuwapokea vigogo watatu na wanachama 30 kutoka CCM jana, Lema alisema kuanzia kesho kimbunga cha viongozi na wana CCM kuhamia Chadema kitavuma kila kona ya nchi.

Vigogo hao ni Diwani wa Kata ya Moshono, Paul Matthysen na mwenyekiti wa CCM Kata ya Terat, Simon Mollel wote wa jijini Arusha.

Haya yametokea ikiwa ni siku chache baada ya katibu mwenezi wa CCM wilaya ya Longido, Tostau Mollel kahamia Chadema, huku baadhi ya watiania wa udiwani na ubunge waliokamilisha maandalizi wakikacha kuchukua fomu za chama hicho.

Miongoni mwa waliokacha kuchukua fomu bila kutoa sababu ni mbunge wa Arumeru Magharibi, Goodluck Ole Medeye, mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Arusha, Robinson Meitinyiku, mjumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya chama hicho, Mathias Manga na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha, Onesmo Ole Nangole, wote wakitajwa kuwa kwenye timu ya Lowassa.

“Hii iliyoanzia Bariadi, Monduli, Longido na Arusha mjini ni mvua za rasharasha. Masika yataanza wiki ijayo (kuanzia kesho Jumatatu) kwa zaidi ya viongozi 950 wa ngazi mbalimbali watakapohama CCM na kujiunga Chadema,” alisema Lema.

Alifananisha Chadema na kanisa au msikiti akisema milango yake iko wazi kuwapokea wanachama wa vyama vingine wanaotaka kutumikia umma kujiunga nacho kwa kutubu makosa yao na kusamehewa kabla ya kuingia kazini Oktoba 25, mwaka huu.

Wabunge wanne Chadema watua ACT
Wakati upepo ukivuma kutoka CCM kwenda Chadema, hali kama hiyo imekinufaisha chama kipya cha ACT-Wazalendo baada ya kuvuna wabunge watatu wa viti maalumu na diwani mmoja kwa mpigo kutoka Chadema.

Wabunge hao ni Mhonga Ruhwanya (Kigoma), Chiku Abwao (Iringa ) na AnnaMaryStella Mallac (Mpanda) wote kutoka Chadema, huku mwingine ambaye jina lake tunalihifadhi kwa kuwa hatukumpata, akitimkia CCM.

Wabunge hao wanaungana na Mbunge wa Kasulu mjini, (NCCR – Mageuzi ) Moses Machali aliyehama kutoka NCCR-Mageuzi kwenda ACT Wazalendo, hivi karibuni.

Akizungumza na mwandishi jana, Zitto alisema atawatangaza wakati wowote wabunge wengine sita kutoka CCM, Chadema na CUF.

Kauli ya Chiku Abwao
Akizungumza kwa simu akiwa India, Abwao alikiri kuhamia ACT-Wazalendo akidai kutoridhisha na mwenendo wa Chadema na hasa taarifa anazosikia za Lowassa ambaye amekuwa akituhumiwa mambo mbalimbali kuhusishwa na Chadema.

“Mimi kwa historia yangu kitu kilichonipeleka upinzani ni kutafuta haki uwajibikaji na kupinga vitendo vya ufisadi na rushwa, lakini nimekishangaa chama changu katika suala hili,” alisema.

“ Licha ya mambo ya sintofahamu yanayoendelea Chadema lakini hili la Lowassa kama kweli atajiunga na chama hiki basi suala litakuwa ni moja tu, ni chaneli ya kuingia Ikulu, lakini haya mambo mimi siyapendi kwa sababu ni mtu wa kupinga ufisadi na kupigania haki za wanyonge,” alisema Abwao

Alisema ameamua kuhamia ACT-Wazalendo, kwa sababu ni chama pekee kitakachowakomboa Watanzania na kwamba ataenda moja kwa moja kugombea jimbo la Iringa Mjini badala ya Isimani.

“Niliamua kwenda Isimani kipindi kile ili kuijenga Chadema, lakini safari hii nipo huku ACT-Wazalendo nitaenda kupambana na Mchungaji (Peter) Msigwa na yeyote yule atakayepitishwa na CCM,” alisema Abwao.

Mhonga: Ni uamuzi tu
Mhonga Rhuwanya alipouliwa alijibu kwa kifupi, “Kama ulivyosikia ndiyo hivyo hivyo, mimi ni mtu mzima na nina maamuzi yangu kwani chama siyo dini.”

Alipoulizwa atagombea ubunge kupitia ACT-Wazalendo, alijibu, “Kwani mtu akihamia chama kingine ni lazima agombea ubunge… hata hivyo naweza kugombea tena.”

Mallac aenda kupokewa
Kwa upande wake, Mallac alisema alikuwa safarini kwenda Katavi kupokewa ACT-Wazalendo.

“Niko njiani naelekea Katavi mkoani kwangu kupokewa rasmi na kiongozi wangu wa chama cha ACT –Wazalendo, Zitto Kabwe,” uliosomeka ujumbe mfupi wa maneno.

Zitto awapokea
Zitto alisema huo ni mwendelezo wa chama hicho kuwapokea wabunge kutoka katika vyama mbalimbali na hivi karibuni atawapokea wengine katika mikoa ya Kagera, Tabora, Rukwa na Zanzibar.

“Tabora wako wawili na Kagera mbunge mmoja wote wa CCM, kutoka wilaya ya Karagwe, pia Zanzibar wawili kutoka CUF na Chadema. Hawa wote wanasubiri mchakato wa kura za maoni umalizike ndipo tuwatangaze.

“Hawa wabunge tuliowapokea ni sawa na asilimia 10 kati ya 50 niliosema, maana watu walikuwa wananiuliza, ‘Zitto ulisema utawapokea wa kiasi kadhaa mbona kimyaa?’ mambo ndiyo yameanza sasa.”

Diwani Chadema atua ACT
Katika hatua nyingine, aliyekuwa diwani wa Kata ya Segerea (Chadema), Azuri Mwambagi amejiunga na ACT-Wazalendo kwa sababu ya uhusiano mbaya kati yake na viongozi wa Chadema wa jimbo hilo.

Mwambagi alisema kuwa amekuwa diwani wa kata hiyo kwa miaka mitano lakini hakukuwa na ushirikiano mzuri kati yake na uongozi wa jimbo hilo.

“Kila ninachokifanya wenzangu wanasema sijafanya kitu na wanaamua kunizunguka kwa wananchi, hali hii imenichosha,” alisema Mwambagi.

Katibu wa jimbo hilo, aliyejitambulisha kwa jina moja la Anna alisema hata yeye amezisikia taarifa za diwani huyo kuhamia ACT- Wazalendo, lakini akakana kuwapo mizengwe aliyofanyiwa Mwambagi.

“Tupo katika mchakato wa kura za maoni na yeye ameomba kuteuliwa kugombea udiwani Kata mpya ya Liwiti, kama anahisi alikuwa kiongozi bora enzi za utawala wake kwa nini asisubiri matokeo ya kura za maoni ndipo afanye uamuzi huo?” alihoji Anna.

Video..Uganda Joutnalist's s3xtape leaked by her Girlfriend



Muda mingi huwa tunasema kama unataka kufanya mambo yako kwa faida zako mwenyewe basi ni vizuri ukawa mwenyewe na nafsi yako maana hakuna siri ya watu wawili hapa duniani...Kwahiyo vitu vyako vya siri viweke viwe vya siri kwa faida yako na kulinda heshma yako pia..Ukatazwi na mtu kupiga picha za utupu hata ukikaa staili gani lakini kama ni kwa faida yako ila utakapo mtumia mtu mwingine tambua kwamba Dunia ni kama kijiji hivyo basi lazima itasambaa na kila mtu ataiona....

Kama unafurahia video tunazokuwekea udownload basi usipitwe tena jiunge nasi hapa bofya hapa KUJIUNGA
http://mapenzilivee.blogspot.com/

Flashback...Haya ndo mambo wanayofanyiwa wake za watu maofisini na mabosi wao..Ni aibu sana



Muda mingi huwa tunasema kama unataka kufanya mambo yako kwa faida zako mwenyewe basi ni vizuri ukawa mwenyewe na nafsi yako maana hakuna siri ya watu wawili hapa duniani...Kwahiyo vitu vyako vya siri viweke viwe vya siri kwa faida yako na kulinda heshma yako pia..Ukatazwi na mtu kupiga picha za utupu hata ukikaa staili gani lakini kama ni kwa faida yako ila utakapo mtumia mtu mwingine tambua kwamba Dunia ni kama kijiji hivyo basi lazima itasambaa na kila mtu ataiona....

Kama unafurahia video tunazokuwekea udownload basi usipitwe tena jiunge nasi hapa bofya hapa KUJIUNGA

Video..Askari wa usalama avujisha video ya mpenzi wake akimsaliti na mwanaume mwingine....




Muda mingi huwa tunasema kama unataka kufanya mambo yako kwa faida zako mwenyewe basi ni vizuri ukawa mwenyewe na nafsi yako maana hakuna siri ya watu wawili hapa duniani...Kwahiyo vitu vyako vya siri viweke viwe vya siri kwa faida yako na kulinda heshma yako pia..Ukatazwi na mtu kupiga picha za utupu hata ukikaa staili gani lakini kama ni kwa faida yako ila utakapo mtumia mtu mwingine tambua kwamba Dunia ni kama kijiji hivyo basi lazima itasambaa na kila mtu ataiona....

Kama unafurahia video tunazokuwekea udownload basi usipitwe tena jiunge nasi hapa bofya hapa KUJIUNGA
https://www.dropbox.com/s/vejaboow44moryy/1287_01.mp4?dl=1



Video..Mwalimu akimlaghai msichana ili afanye nae mapenzi...



Muda mingi huwa tunasema kama unataka kufanya mambo yako kwa faida zako mwenyewe basi ni vizuri ukawa mwenyewe na nafsi yako maana hakuna siri ya watu wawili hapa duniani...Kwahiyo vitu vyako vya siri viweke viwe vya siri kwa faida yako na kulinda heshma yako pia..Ukatazwi na mtu kupiga picha za utupu hata ukikaa staili gani lakini kama ni kwa faida yako ila utakapo mtumia mtu mwingine tambua kwamba Dunia ni kama kijiji hivyo basi lazima itasambaa na kila mtu ataiona....

Kama unafurahia video tunazokuwekea udownload basi usipitwe tena jiunge nasi hapa bofya hapa KUJIUNGA
https://www.dropbox.com/s/gspojbre1hcxi7s/VID-20141129-WA0010_01.mp4?dl=1


Picha zinatisha..Jamaa ambaka demu na kisha kumkata kichwa na kutembea nacho barabarani...Wakubwa tu plz




Hii ndiyo stori iliyozua Gumzo kubwa mtandaoni baada ya Jamaa anayesemekana kuwa alikuwa anaakili vizuri kumbaka msichana na kisha kumkata kichwa bila ya uruma.....

 Katika hali ambayo si yakawaida mwili wa dada huyo uliokotwa katika kijiji cha Asangragua ukiwa hauna kichwa na uchunguzi ulipofanyika ndipo uligundulika kuwa alibakwa na kisha kukatwa kichwa
 picha kwanza   
picha ya pili       

Older Posts
© Copyright MAPENZI Published.. .
Back To Top