> MAPENZI: matukio

Laana! South DCE Zakaria, Kiongozi mkubwa, picha zake akifanya mambo ya ajabu na hawara yake bafuni zimeleak..bofya



We have obtained copies of the nude photos of the sexual encounter between the District Chief Executive for Tano South Bukari Anaba Zakaria and a fair-skinned lady, whose name is yet to be known.

The DCE, who is reportedly married with kids, and his partner allegedly took the pictures of their illicit romantic affair themselves.

Muda mingi huwa tunasema kama unataka kufanya mambo yako kwa faida zako mwenyewe basi ni vizuri ukawa mwenyewe na nafsi yako maana hakuna siri ya watu wawili hapa duniani...Kwahiyo vitu vyako vya siri viweke viwe vya siri kwa faida yako na kulinda heshma yako pia..Ukatazwi na mtu kupiga picha za utupu hata ukikaa staili gani lakini kama ni kwa faida yako ila utakapo mtumia mtu mwingine tambua kwamba Dunia ni kama kijiji hivyo basi lazima itasambaa na kila mtu ataiona....

Dawa ya wabakaji yapatikana katika sidiria....Bofya hapa kujua

Dawa ya wabakaji yapatikana katika sidiria....Bofya hapa kujua

Kundi la wanafunzi nchini India limefanikiwa kutengeneza sidiria za umeme ili kuwafanya wanawake waweze kujilinda wakati wa matukio ya ubakaji kwa kuwapiga shoti wabakaji. Sidiria hizo za umeme zina uwezo wa kumpiga shoti mtu kwa umeme wa kiasi cha 3,800kv.

Sidiria hizo mbali ya kutoa shoti ya umeme unaotengenezwa na kifaa kwenye sidiria kinachotumia betri pia zina uwezo wa kutuma ujumbe wa meseji kwenda kwa mtu anayetakiwa kujulishwa juu ya tukio hilo na pia kutuma maelekezo ya sehemu ya eneo la tukio.

Wanafunzi hao wa India katika chuo kikuu cha mji wa Chennai walitengeneza sidiria hizo baada ya kubakwa kwa mwanafunzi wa kike mwenye umri wa miaka 23 katika mji wa Delhi. Mwanafunzi huyo alifariki dunia kutokana na majeraha aliyopata baada ya kubakwa na kundi la wanaume wengi kufuatia tukio hilo lililotokea mwezi disemba mwaka jana.

Wanafunzi hao wa India waliamua kufanya utafiti wa kutengeneza sidiria kama hizo ili ziweze kuzuia matukio mengine ya ubakaji yasitokee.

Sidiria hiyo imewekewa kitu cha kutathmini ukubwa wa presha ya kukandamizwa ili kuifanya sidiria hiyo iweze kuruhusu kutolewa kwa shoti ya umeme.

Presha ya mgandamizo kwenye kifua kutokana na kukumbatiana haitaifanya sidiria hiyo iruhusu kutolewa kwa shoti ya umeme.

Ili kumlinda mvaaji, sidiria hiyo imetengenezewa material maalumu yatakayozuia umeme kumrudia mvaaji.

+18..Fundi simu avujisha video ya chafu ya mteja wake.....Angalia video hapa



Our technological world we live in nowadays has opened doors for some people to do some things without actually having the right to do so. The same dilemma comes from this video which was leaked by empressleak a couple of days ago which involves a video of someone seriously getting some action from multiple corners in an almost 3 minutes video scene which was leaked by a phone repairer.


The video is interesting but the story that surrounds it about the idea of exposing someone who has brought you a job is notoriously insane. I mean, take a look, keep it on your phone if you want to but why leak it?

Aibu!!Msichana wa Uganda afanya mambo ya aibu baada ya kulewa ..Video hii hapa

 
Msichana wa Uganda afanya mambo ya ajabu baada ya kulewa pombe za offer

Angalia video ya Doctor akifanya mavituzi na Nurse wake hospitalini



This is a leaked video of a doctor who's secret affairs with a nurse was caught live on hidden camera.

This doctor and nurse of a thing getting along in the hospital is getting out of hand. people who are suppose to be very serious so as to show example to the future one's are now doing something different. seat back and watch this video.



LAANA! Mwanafunzi abakwa na muuza Genge



Kwenye Kituo cha Polisi cha Maturubai kilichopo Mbagala, Dar kuna faili la kesi namba MBL/RB/ 9817/2014- KUFANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI ambalo linamsaka kijana Juma Athumani (30), mkazi wa Charambe, Mbagala kwa kosa la ubakaji wa denti wa darasa la saba.


Habari za kiintelijensia zilidai kwamba mtuhumiwa huyo ambaye ni muuza genge, alitenda kosa hilo, mwaka huu ambapo mwanafunzi huyo alikuwa ametumwa na mama yake gengeni.

Ilisemekana kwamba jamaa huyo alimuomba denti huyo wazungumze kidogo ndipo akampeleka gesti kwa lazima.

Akizungumza na mwandishi, denti huyo alisema kuwa alipofika gesti, jamaa huyo alilipa fasta na kumvutia chumbani ambapo alianza kumshika ‘manido’ kisha akamtupia kitandani na kumwingilia kimwili bila ridhaa yake.

Alisema kwamba, jamaa alipomaliza shida zake, alimpa buku tano (5,000/=) lakini alipokataa huku akilia ndipo mwanaume huyo akamuongezea hadi ikafika buku kumi (10,000/=).

“Niliporudi nyumbani mama aliniuliza kwa nini nimechelewa kisha akaziona hela, akaniuliza nimezipata wapi, nikamwambia amenipa Juma ndiyo tukaenda hadi gengeni kwa Juma kuuliza ndiyo mama akagundua kuwa nimebakwa.

“Baadaye mama alikwenda kuripoti polisi ndipo Juma akakamatwa na mimi nikapelekwa hospitali na kugundulika kweli nilikuwa nimebakwa,” alisema denti huyo.

Angalia picha za mzee akifanya mapenzi na mwanafunzi baada ya kumlaghai

Denti alibakia chupu chupu kuliwa uroda na mzee wakiwa wameenda porini kwa majambozi kwa bahati nzuri mchezo mzima kumbe ulikuwa unafatiliwa na wajanja wa town..



AIBU..Mke wa mtu anaswa live akiliwa uroda ndani ya Tax maeneo ya mtaa wa Aggray-Dar



KUFUATIA vitendo vya usaliti wa ndoa, uasherati, ufuska na ukiukwaji wa maadili ya Kitanzania kwa wanandoa, wiki iliyopita Ijumaa iliendelea na Operesheni Fichua Maovu kwa kuzunguka jijini Dar usiku wa manane na kunasa tukio la mke wa mtu akifanya uzinzi ndani ya gari.


Kabla ya kufanya operesheni hiyo, waandishi  walitaarifiwa kwamba Wilaya ya Kinondoni jijini Dar ndiyo inayoongoza kwa wake na waume  za watu kufanya vitendo vya ngono kwenye magari.

Maeneo yaliyodaiwa kwamba wazinzi hao hupenda kuyatumia ni Coco Beach, Leaders Club, Mlimani City na sehemu kubwa ya vitongoji vya Sinza na Mwenge, Dar.

Mbali na waume na wake za watu, wengine wanaotajwa kufanya vitendo vya ngono ndani ya magari ni mastaa wakubwa ambao wanaogopa kwenda kukodi vyumba mahotelini na gesti wakihofia watajulikana kutokana na umaarufu wao.

Jumatatu ya Aprili Mosi, mwaka huu, waandishi wetu walianza mchakato wa kutembelea vitongoji walivyoezwa kwamba, watu hususan wake na waume za watu hupenda kuvitumia kufanyia ufuska.

Waandishi wetu walitinga kwenye Ufukwe wa Coco uliopo Oysterbay, Dar ambako walishuhudia wasichana wengi waliokuwa wakifanya biashara ya kujiuza ‘machangudoa’ katika viunga hivyo.

Mbali na wasichana hao, pia kulikuwa na vibaka wengi waliokuwa wakiwalinda machangudoa hao ili wasipate matatizo.

Pia, wanaume wengi walikuwa wakifika na wanawake ndani ya magari yao na kupozi kwenye maegesho, wengi wao hawakuonekana kama ni watu na wake zao.

Hata hivyo, waandishi walibaini kwamba magari mengi yanayotumiwa katika eneo hilo ni yale yenye vyoo vyeusi ‘tinted’ hivyo ni vigumu kujua kinachoendelea ndani yake.

Kwa ujanja, waandishi wetu walibaini kwamba ‘pea’ nyingine zilikuwa zikifanya vitendo vya ‘kudendeka’ na wengine kufika mbali zaidi lakini walishindwa kuwavaa kutokana na usalama mdogo katika eneo hilo.

Waandishi  wetu walihamishia mtego wake Leaders Club, Kinondoni mida ya saa 8:05, baada ya kupiga misele ya hapa na waandishi walifanikiwa kumbamba mmoja wa wazinzi.

Waandishi walitulia baada ya kuliona gari aina ya Toyota Land Cruiser  likiwa katika eneo la maficho nje ya viwanja hivyo.
Gari hilo lilikuwa likitikisika kuonesha kwamba mchezo ulikuwa ukiendelea ndani yake.
Wakati waandishi wakijipanga kulivamia, ghafla waliokuwa ndani walishtuka na kupozi kwa muda.
Hata walipoachiwa ili waendelee, machale yaliwacheza na kuwasha gari kisha kuondoka kwa kasi.
Pamoja na kulikosakosa tukio hilo, waandishi hawakukata tamaa, kuanzia Jumatatu hadi Jumapili waliendelea na utaratibu wa kutembelea viwanja husika.

Jumapili iliyopita baada ya kutembelea viwanja vyote kusaka ‘wahalifu hao’, hatimaye mtego ulinasa.
‘Patroo’ ikiwa kazini maeneo ya Mwenge, Dar jirani kabisa na hoteli moja inayopata umaarufu mkubwa siku za hivi karibu, ghafla gari aina ya Toyota Corona likiwa limepaki kwenye eneo la giza, chini ya mti lilikuwa likitikisika kuonesha kwamba kulikuwa na watu waliokuwa wakifanya ngono.

Safari hii, bila kufanya makosa, waandishi wetu waliwasogelea ambapo na wao hawakuonekana kujali wapita njia....
Ndipo walipomnasa mke wa mtu laivu akiliwa uroda na jamaa anayesemekana kuwa ni DEREVA TAXI wa maeneo ya mwenge, mara baada ya wahalifu hao kunaswa na CAMERA zetu walijiinamia chini kwa Aibu nzito huku kila mmoja akisaka uchochoro wa kutorokea.... Hii ilikuwa ni skendo nzito kuwahi kutokea maeneo yaa hapo...

Angalia video ya daktari aliyenaswa akifanya mapenzi na mgonjwa wake wodini....



Jamamni Dunia inapoelekea kwa sasa inatia huruma kwani video unayoinoa hapo chini ni ya kusikitisha kabsa kwa Daktari ambaye anayatambua maadili yake ya kazi kufanya upuuzi kama ule,

Video hii abayo inamuonyesha DAKTARI huyo ambaye ni  maarufu kwa kutoa mimba kinyume na maadili ya kazi yake kwani amekuwa akiwatoa mabinti MIMBA  na mbali na hayo yote alitumia uongo wa kuwaambia kuwa akifanya nao mapenzi ndio njia hiyo ya kutolea mimba inakuwa nyepesi zaidi.


Nisiongee mengi sana, embu na wewe jionee mwenyewe!!


ANGALIA VIDEO YENYEWE HAPO CHINI:

Lulu wa mbeya asababisha mauaji ya wanaume wawili kwa kuchomana visu..kisa hiki hapa



Kijana Peter Bosco mkazi wa Itiji, mjini hapa aliyedaiwa kumuua kwa kumchoma kisu kifuani mgoni wake Daniel Mwasalemba Februari 8, mwaka huu, naye amefariki dunia baada ya kupigwa kwa mawe na watu wenye hasira kali.

Kwa mujibu wa ndugu wa Peter ambaye hakutaka kuandikwa jina lake gazetini aliyezungumza na gazeti hili, marehemu alifariki baada ya kupata majeraha kadhaa siku anayodaiwa kuua kutokana na kupigwa kwa mawe na watu hao.


“Watu wenye hasira kali walimpiga kwa mawe Peter siku ya tukio na kusababisha polisi wampeleke hospitali alikolazwa baada ya kuumia, amefariki hivi karibuni na tayari ameshazikwa,” alisema ndugu huyo.

Peter anadaiwa kumuua Daniel kwa kumchoma kisu kifuani na kumburuta marehemu hadi kando ya barabara huku akiwa uchi wa mnyama baada ya kumfumania na mwanamke wake aitwaye Elizabeth Michael.

Elizabeth ambaye ni maarufu kwa jina la Lulu wa Mbeya ambaye kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, ACP Diwani Athmani, ni muuza pombe za kienyeji katika klabu iitwayo Musoma iliyopo Itiji, Mbeya.

Kamanda Diwani alisema chanzo cha mauaji hayo ni wivu wa kimapenzi baada ya Peter kumfuma Daniel akiwa nyumbani kwa mwanamke huyo ambapo aliwafungia mlango kwa nje na kwenda kutafuta kisu alichokitumia kumuua mwenzake.

Dada mrembo auwawa kikatili baada ya kubakwa mjini Morogoro


Dada mmoja anayedaiwa kuwa mkazi wa jijini Dar es Salaam ameuawa kinyama baada ya kubakwa hadi kufa eneo la Nanenane ndani ya mashamba ya mikonge mjini morogoro.

Habari kutoka eneo la tukio zinasema kuwa, mrembo huyo ambaye hakufahamika aliuawa kwa kubakwa na watu wasiojulikana ambapo maiti yake ilikutwa ikiwa imevuliwa nguo za 
                                                               Mrembo baada ya kuuawa.
ndani Aidha, kwenye shingo yake kulikutwa na kitambaa ambacho inadhaniwa kuwa ndicho kilichotumika na wahalifu kumnyongea.
Baada ya polisi kukagua pochi yake walikuta ikiwa na tiketi iliyoonyesha kuwa alisafiri kutoka Dar es Salaam hadi mjini hapa bila kuwa na jina la msafiri.


Baadhi ya wananchi walioshuhudia maiti hiyo, wamesikitishwa na tukio hilo. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, ACP Faustene Shilogile alipohojiwa juzi na mwandishi wetu alithibitisha kutokea kwa tukio hilo.
“Nawaomba watu wanaomfahamu marehemu huyu wafike chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Mkoa wa Morogoro kumtambua,” alisema Shilogile.

Vijana wanaofanya biashara ya kusafisha kucha za wakina dada....Wanaume kuwe makini na wake zenu



Kama wewe ni mwanaume, huenda si wa kwanza kujiuliza maswali kila uonapo wanawake wengi wakiwa wamejipanga mstari kusafishwa kucha, kupakwa rangi kucha na kuoshwa miguu na vijana mbalimbali walioamua kujiajiri wenyewe.

Ni biashara maarufu mjini na ambayo inazidi kukua kila kukicha. Katika biashara hiyo wanawake husafishwa kucha na kuoshwa miguu na wakati mwingine hadi sehemu za mwili za wanawake zinazokaribia maeneo ya mapaja (sehemu sensitive haswaa). Je! Shughuli hii ina madhara katika mahusiano? Vijana hawa wanaaminika?

Nimemfumania mpenzi wangu na mwanamke mwingine..Ametubu anataka turudiane nifanyeje????

Watanzania wenzangu naombeni mnisaidie mwenzenu, Katika maisha yangu yote hadi sasa nina miaka 24, sijawahi kufanya mapenzi na mwanaume mwingine, zaidi ya huyu mchumba wangu nilie nae, nampenda kuliko kitu chochote

Tumeanza urafiki wetu nikiwa na miaka 21 ila mchumba wangu amebadirika sana, alisema atanioa, amejitambulisha na kwetu, lakini gafla, ameahirisha, anasema kwa sasa mambo yamekuwa mengi sana, na hata maongezi yake si ya kawaida, yani anaongea as if amekasirika, sasa ile hali mimi siipendi, kila nikijaribu kupeleleza ili nijuwe labda nimemkosea, sipati jawabu lolote,
Baada ya kuchunguza sana, nikagundua anatembea na secretary wao, na ninasikia tu kwa watu kuwa anataka kumchumbia, nimelia sana na moyo wangu wala hautaki kuamini hili, nilishawahi taka kunywa vidonge nife, dada alinikuta, na kunisema sana, lakini bado akili haijakaa sawa,

Mwezi uliopita rafiki wa mchumba wangu, alikuja yeye na dada yake, wakaomba kuongea na mimi, I thought kwamba wametumwa na Rick (mchumba wangu), kumbe walikuja kwa mengine,

Kilichomleta ni kwamba, anataka kunioa yeye, anadai alikuwa akiichunguza tabia yangu toka siku nyingi na kudai kuwa mchumba wangu si mwaminifu, lakini kwakuwa hatujafunga ndoa, basi yeye anataka kunioa, na dada yake ni mtumzima amethibitisha hilo, mimi nilikataa kata kata, nikawafukuza kwa hasira,

Nilimpigia sim mchumba wangu kumwambia, alichukia sana, akachukuwa company yake, wakalewa wakaenda kumpiga, walimpiga sana, Yule kaka alinitumia sms hii, ‘’ iko siku utanikumbuka’’ dada, sikuamini siku ambayo nilitoka safari, na kupitiliza kwa mchumba wangu nikamkuta na yule secretary wao, nilikwenda moja kwamoja kwakuwa sikumpata kwenye simu kumjulisha kuwa nakwenda. Na ni wiki ile ile ambayo rafiki yake alipigwa,

Toka siku ile moyo wangu umekufa ganzi nilimchukia gafla na nikaona siwezi kuishi bila yeye. alipoitwa na baadhi ya jamaa zangu, alisema kuwa nibahati mbaya tu shetani alimpitia! Ila Bado ananipenda, na anataka anitolee mahari kabisa ili tufunge ndoa, lakini dada yangu ananikatalia maana ndie alienilea toka mdogo. Sasa nishaurini mdogo wenu nifanyaje? Sijielewi, nimsamehe, au nimkubali Yule rafiki yake

Kutana na msichana mwenye muonekano wa kiume na changamoto anazokutana nazo katika maisha yake...

Jina lake anaitwa Queen ni msichana mrembo lakini kimtazamo ni kama mwanaume kutoka na masharubu aliyokuwa nayo na pia nywele nyingi za kifuani, Queen ni mtoto wa nne katika familia yao yenye watoto watano akizungimzia maswawabu anayokutana nayo baada ya muonekano wake kwa njia ya mtandao Queen Anasema....

“Nimerithi hizi nywele toka kwa mama yangu na zilinianza nikiwa na miaka 21. Kadri miaka ilivyozidi kusonga mbele, tatizo hili lilizidi kusambaa mwili mzima.
“Mwanzo nilikuwa najisikia vibaya sana maana watu walikuwa wakiniona ni kiumbe wa ajabu, lakini baadae nilizoea na ikanilazimu nikubaliane na ukweli….

Nakuhusu changamoto za mahusiano ,Queen alisema:“Sijabahatika kuwa na mwanaume wa kudumu, wengu hunikimbia kutokana na hali hii”



Older Posts
© Copyright MAPENZI Published.. .
Back To Top