> MAPENZI: chumbani

Video ya ngono ya msanii wa bongo movie akifanya mapenzi na mke wa kigogo...


Picha za utupu za mke wa kigogo na serengeti boy wake zazua utata Gesti...

Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Marck Costantine (24), mkazi wa mtaa wa Kitangiri jijini Mwanza amenaswa ‘live’ gesti akiwa na mke wa kigogo mmoja (jina kapuni), aitwaye Mwanaidi wakijiandaa kuvunja amri ya sita.
Tukio hili la aina yake kwa mwaka huu kwenye gesti moja maarufu iliyoko mitaa ya Kitangiri baada ya kigogo huyo kupewa ‘ubuyu’ kwamba anaibiwa mali yake ndipo akaandaa mtego na kufanikiwa kumnasa kijana huyo alipokutwa kwenye chumba namba 4 cha gesti hiyo akijiandaa kuserebuka.

“Kigogo alipopewa mchoro huo na wambea, siku ya tukio alimshtua Mwenyekiti wa Mtaa wa Kitangiri, Maginga Patroba, wakatia timu katika gesti hiyo, wakawakuta wachepukaji hao wakiwa kitandani huku Marck akiwa tayari ameshachojoa nguo, Mwanaidi akiwa bado,” kilisema chanzo chetu na kuongeza:

“Kigogo aliamuru wahudumu wagonge mlango ili wahusika wasishtuke, walipofungua ndipo mwenyekiti sabamba na kigogo huyo wakazama ndani.”
Mwanaidi alipoona flashi za kamera ya mapaparazi zikiwamulika, alianza kuangua kilio mbele ya mumewe kumuomba awasamehe lakini kigogo huyo alimtaka kijana huyo amlipe fidia ya shilingi milioni moja kama adhabu ya kutembea na mke wake.
Kutokana na hali ya uchumi ya kijana huyo kutokuwa nzuri, hakuweza kulipa kiasi hicho cha pesa badala yake aliomba kupewa muda wa kulipa pesa hizo.

Chini ya uangalizi wa mwenyekiti, Marck aliandika barua ya makubaliano jinsi ya kulipwa kwa kiasi hicho cha pesa kwa kigogo huyo na iwe kama fundisho kwake kuachana na tabia za kutembea na wake za watu.
Kwa upande mwingine, mwenyekiti Patroba alikiri kumfahamu Marck na kudai ni kijana wa mtaani kwake na kumuonya asirudie mchezo huo mchafu.

“Namfahamu huyu kijana nimeshangazwa na kitendo hiki anachokifanya kwani ni vitendo ambavyo havikubaliki katika jamii hivyo kama kiongozi wa mtaa huu nitaendelea kutoa ushirikiano ili kuukomesha tabia kama hizi za kuvunja miji ya watu,’’ alisema Patroba.

Wakubwa tu!! Angalia video ya wanafunzi wa chuo walionaswa wakifanya yao laivu bila aibu....



Amini usiamini,hili ndio tukio lililotokea wiki iliyopita huko nchini botswana ambapo wanafunzi wawili wa chuo cha muziki nchini humo walijikuta katika maswahibu makubwa baada ya video waliorekodi kwa kutumia, kwa kutumia simu wakati wakivunja amri ya sita katika vyoo vya chuo kuvuja, kisa cha kuvuja kwa video hiyo kilitokana na simu ilikuwa na video hiyo kuibiwa na kisha video hiyo kuwekwa katika mtandao na mwanafunzi ambaye hakuweza kujulikana kiurahisi.


Baada ya simu kuibiwa mmiliki wa simu hiyo aliyetambulika kwa jina la TShwane alianza kuhaha chuoni hapo kwa kubandika matangazo yaliyokuwa yakisomeka hivi "kwa mwanachuo yeyote atakaye fanikisha kupatikana kwa simu hiyo nitampa donge nono"

Tangazo hilo ndilo liliibua mkasa mzima, baada ya mwanafunzi aliyeiba simu hiyo kuipekua na kufanikiwa kuikuta video hiyo iliyoku a inamuonesha Tswane na mwanafunzi mwenzake wa kike ambaye hakuweza kutambulika kiurahisi katika video hiyo wakivunja amri ya sita ndipo alipoamua kuivujisha kwa kuiweka kwenye mtandao na kisha taarifa ya video hiyo kusambaa chuoni hapo.

BOFYA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO

Laana!! Mke wa mtu afumaniwa akizini na shemeji yake bila aibu....



MWANAMKE aliyefahamika kwa jina la Bahati ambaye ni mke wa Mrisho Juma, hivi karibuni alikumbwa na aibu ya aina yake baada ya kunaswa laivu ‘akingonoka’ na shemeji yake.

Tukio hilo lililoshuhudiwa na umati wa watu lilijiri Machi 11, mwaka huu mchana kweupee katika eneo la Mafisa kwa Mbambi ndani ya chumba cha Mbaji Hamis ambaye ni mdogo wa Mrisho.
Akizungumza na mwandishi wetu, Mrisho ambaye anafanya kazi ya kupiga debe katika stendi ya mabasi ya Msamvu alisema, fumanizi hilo halikutokea kwa kuweka mtego bali ni Mungu tu.
Alieleza kuwa alikamatwa Ijumaa na kutupwa mahabusu kwa kosa la kutovaa ‘yunifomu’. Mkewe na mdogo wake wakawa wanampelekea chakula.

“Jumapili jioni walikuja tena kuniletea chakula ila kwa bahati nzuri Jumatatu nikapewa onyo na kuachiwa. Cha ajabu nilipofika nyumbani nilimkuta mtoto wangu wa miaka 2 analelewa na majirani.

“Nilipowauliza mke wangu yuko wapi walidai tangu Jumamosi hajaonekana kwa maelezo kwamba amekwenda kushughulikia dhamana yangu,” alisema Mrisho na kuongeza kuwa aliendelea kumtafuta sehemu mbalimbali hadi alipoamua kwenda nyumbani kwa mdogo wake.

“Nilipofika nilimkuta mke na mdogo wangu wakiwa pamoja kitandani. Baada ya mdogo wangu kuniona alinyanyuka na kuvaa bukta kisha akatoka nduki,” alisema Mrisho.

Ikaelezwa kuwa, baada ya mwanaume huyo kumfumania mkewe huku majirani wakishuhudia, alimshushia kipigo kisha akampa talaka kabla ya kuamua kumrudisha kwao Tabora.

Akizungumza na mwandishi wetu kuhusiana na kufumaniwa huko, Bahati alisema shemeji yake alimlazimisha kulala naye baada ya kutoka polisi kumpelekea chakula mumewe.

Mjumbe wa Serikali ya Mtaa, Rehema Dimoso alikiri kutokea kwa tukio hilo kwenye mtaa wake

Uwezo wa mwanamke kumsaidia mpenzi wake mwenye upungufu wa nguvu za kiume ni...



Leo nitaongelea mada kali kidogo ambayo inawakuta wanandoa wengi lakini wanaishia kunyamaza kwani hawana pa kusemea.

Kuna baadhi ya akina mama wanalalamika na wengine wanadiriki kutoka nje ya ndoa, ukiuliza kwa nini wanajibu eti mume hana ‘nguvu za umeme’ yaani za kiume.

Niwaambie, mnakosea, mwanamke uliyeamua kuwa na mume kwa shida na raha unatakiwa kumsaidia hata linapotokea tatizo kama hilo, kubwa si kumkimbia kama wafanyavyo watu wengine.

Hapa siongelei wale wenye tabia za kishoga, naongelea wale wanaume wanaoishiwa nguvu wakati wakiw katika tendo kutokana na kuwa na ugonjwa kama vile wa kisukari, vidonda vya tumbo, figo kufeli na msongo wa mawazo.
Unajua kwa wenye tatizo la kishoga naweza kusema kuwa Mungu si mjinga kuwaumba hivyo. Wapo wanaojibadili na kuwa wanawake eti ukiwauliza wanasema wana homoni nyingi za kike!

Mimi leo naongelea wale wanaume marijali waliopatwa na magonjwa niliyoyataja.

Baadhi ya wanawake hawana uelewa kabisa, akimuona mumewe hawezi basi anaanza kumwambia kuwa amemsaliti kwa kutoka nje ya ndoa yao.
Kwa nini msikae chini na kuongea naye taratibu mkagundua tatizo na mkakubaliana cha kufanya.

Njia unayoweza kuitumia mwanamke mwenzangu ni kuhakikisha unamshika mkono mumeo na kumuuliza nini ukimfanyia atafanikiwa kupata nguvu za umeme na injini ikawaka kama zamani na kufurahia ndoa yenu badala ya kumnunia na kumpa mgongo.

Kwa upande wa wanaume ambao tayari mna matatizo hayo msijione wanyonge.
Mwanaume unaweza kumsaidia mkeo kwa njia nyingi tu kwa kumridhisha huku ukimpa maneno mazuri hata asifikikirie kutoka nje ya ndoa yenu na kwenda kukutia aibu.

Ukumbuke ukilifumbia macho hili mjomba, jirani , hata wakwe watakujua kuwa huna umeme kwa sababu mwisho wa siku mkikaa kikao cha kwa nini mkeo anakusaliti ataitoa siri yako na itakuumiza maisha yako yote wakati imetokea bahata mbaya kupatwa na maradhi hayo.

Mwanamke mwenzangu, mumeo anaweza kukwambia  anataka mahaba, usimkatalie kamwe hapo ndiyo anaweza kukusaidia wewe na yeye ikawa ni faraja yake. Mwachie mwili bibi kwani ameutolea mahari kwa ajili ya kufaidi, kwa nini umbanie na kumkatalia?

Mwisho nawasihi wanawake wenzangu msitoke nje ya ndoa kwani wanaofanya hivyo siku zote wanadharaulika sana na kwa Mungu utaulizwa siku moja sababu ya kumtesa mumeo. Kumbuka kuna radhi ya mume ambayo ikikushika ni mbaya sana.

Madhara ya kufanya mapenzi na mwanamke akiwa katika siku zake

Jamani naomba kuuliza Swali Je Kuna madhara yoyote kwa pande zote mbili endapo tendo la ndoa likafanyika pindi mwanamke akiwa katika siku zake?

Kama mara mbili hivi nimejikuta nikizidiwa na kufanya kitendo hicho katika hizo siku sasa napata wasiwasi naomba mwenye kujua atujuze kwa kutuandikia maoni yake kwenye kisanduku cha maoni hapo chini..


Mapenzi yatakuliza mpaka lini soma hapa Ujue jinsi ya kuyahepuka makosa yakukuliza..

Ni vijimambo tu vya ‘malove dave’, si unajua bila mapenzi maisha yanakuwa na
mushkeli? Bila shaka jibu ni ndiyo na huo ndiyo ukweli, binadamu hawezi kuishi
kama jiwe, mti au amoeba.

Raha ya maisha ni kuwa na mwenzi wa kumpenda na kukupenda kiukweli wala siyo
kuzugana. Hayakuumbwa mapenzi bila sisi, na hiyo ndiyo sababu ya kutangulia
Adam na Hawa kisha yenyewe yakafuata katikati yao.

Kwa wale walio katika mapenzi matamu na ya kweli watakubaliana na mimi kuwa pale penye amani ni kama paradiso ndogo ndani ya ulimwengu huu mkubwa uliojaa vituko!
Si ajabu kujikuta umeshiba bila kula, eti kwa sababu tu umemuona mpenzio au kuwa
naye karibu. Yeye si ndiye mambo yote, kwahiyo kuna haja gani ya kujaza tumbo
kwa sembe wakati sura na harufu yake vinakushibisha? Raha iliyoje!
Wakati watu wengine wakiishi kwa raha katika maisha yao ya kimapenzi, wapo wanaoteseka
huku mioyo yao ikiwa imesinyaa! Kila
siku ni karaha na vituko vya makusudi.
Japo wanawapenda sana na kuonesha mapenzi yao yote, lakini wanatendwa. Kila siku mioyo imejikunja kwa simanzi inayotokana
na maumivu yasiyojulikana mwisho wake.

Kisa kupenda!
Lakini pamoja na karaha, vituko na dharau bado kuna wale wenzangu na mimi utakaowasikia wakisema; “Ah! Nitavumilia tu, labda atabadilika na nafikiri
sitoweza kumuacha kwa kuwa nampenda sana!”
Hey! Shtuka ndugu yangu, labda pengine mimi nikawa na msimamo tofauti kidogo.
Ninavyoamini ni kwamba mapenzi ya kweli ni pamoja na kumsikiliza mwenzako na
kuheshimu hisia zake.
Tofauti na hapo, tabia ya kutokuwa msikivu, kutojali na kutokuwa mwepesi kubadilika ni dalili tosha ya kutokuwepo kwa upendo wa dhati. Mapenzi ni kupenda, kupendwa,
kusikilizana na kuheshimiana na si zaidi au chini ya hapo!
Kama unamkemea kuhusu tabia yake ya kurudi nyumbani usiku na hataki kubadilika, unangoja nini tena? Hapa naomba niwape pole wale wote wanaokwazwa na wapenzi
wao kwa namna moja au nyingine.

ANGALIZO; Kama mpenzi wako anakuumiza kutokana na ulevi wake, ujeuri, kutojali, ubabe na mengineyo mengi, huo ni mtihani mzito!
Pamoja na hivyo, nafahamu kuwa wakati mwingine ni vigumu kuamua hatma ya uhusiano wako
kwakuwa unahisi unampenda sana na hauko tayari kumkosa maishani. Dondoo
zifuatazo zitakusaidia;
 Zingatia thamani kubwa ya chozi lako!
Nadhani nitakuwa wa ajabu kama nitaanza kuchambua muktadha wetu wa leo bila kutanguliza shukurani zangu kwa Mungu mpaji wa viumbe vyote. Unadhani jeuri hiyo nitaipata wapi, ikiwa kila ninachofanya si kwa ujanja wangu, bali ni kwa matakwa yake?

Si mimi tu, hata wewe ni wajibu wako kumshukuru kwa mema yote anayokutendea kila siku, hivyo tuungane pamoja katika kuzienzi kudura zake, tukiamini kwamba kufanya hivyo ni njia mojawapo ya kutusafisha mbele yake.
Mada yetu inayouliza “Utalia mpaka lini kisa mapenzi?” Bado inaendelea na leo tupo sehemu ya tatu ambayo ndiyo ya mwisho. Lengo ni kukuzindua ili uzingatie kwamba thamani ya chozi lako ni kubwa, hivyo haupaswi kumtolea mtu ambaye hakuthamini.

Katika matoleo mawili yaliyopita, niliandika kuwa kuna mambo ambayo unaweza kuyaacha yapite kwa kigezo cha kujiongopea kwamba unavumilia, na hayo ndiyo hasa yanaweza kukufanya udhalilike. Ni nani atakayekuheshimu ikiwa unashindwa kujilinda?
Niliandika kuwa mapenzi ni kupenda, kupendwa, kusikilizana na kuheshimiana wala siyo zaidi ama chini ya hapo! Tofauti na hapo, tabia ya kutokuwa msikivu, kutojali na kutokuwa mwepesi kubadilika ni dalili tosha ya kutokuwepo kwa upendo wa dhati.
Tunashauriwa kuwa wavumilivu, lakini siyo katika kipimo cha kutufanya tudharauliwe. Miongoni mwetu tupo tunaojifanya ni wastahimilivu mpaka kufikia katika levo ambayo pengine inamkasirisha hata Mungu. Leo unamfumania, kesho upo naye, unangoja nini?

Karaha, vituko na dharau ni chungu tele, lakini wenzangu na mimi utawasikia wakisema “Ah! Nitavumilia tu, labda atabadilika na nafikiri sitoweza kumuacha kwa kuwa nampenda sana!” He! Mpaka lini na dunia iliyochafuka hii?
Pamoja na hivyo, nafahamu kuwa wakati mwingine ni vigumu kuamua hatma ya uhusiano wako kwakuwa unahisi unampenda sana na hauko tayari kumkosa maishani. Ndiyo maana ya kukupa dondoo zifuatazo ili zikusaidie…

ZINGATIA BUSARA ZA WENGINE
Matukio ni mengi mpaka yanakatisha tamaa, hivyo wakati mwingine ni vema sana ukawaona watu ambao unaamini akili zao ‘zimeseto’, na kuomba ushauri. Busara zao zitakusaidia cha kufanya pindi unapokabiliwa na msongo wa mawazo unaotokana na kero za mpenzi wako.
Kwa wanandoa wanaweza kuwahusisha wazee au vyombo vya sheria. Usikubali “kumezea” matatizo uliyo nayo, utakufa kihoro bure! Waombe ushauri wale unaowaamini. Bila shaka watakuonesha njia!

SOMA KWA MIFANO
Matatizo ni sehemu ya kila binadamu, na linapokuja suala la kutatua yetu wenyewe ni vizuri kusoma kwa wengine, ni kwa namna gani walipopatwa na matatizo kama yetu walivyojiokoa.
Hili halina ‘ujiniaz’, haujawahi kusikia kinyozi hajinyoi? Jiulize, ni wangapi unaowafahamu au kusikia habari zao, waliowahi kupenda kama wewe lakini kutokana na manyanyaso, wakaachia ngazi?
Jiulize tena, baada ya hao waliopenda tena pengine kuliko wewe, walipoachana na wenzi wao walikufa au kupata ugonjwa wowote wa kudumu? Jibu, hapana tena pengine wanaishi maisha mengine matamu na wapenzi wapya. Kama wao wameweza wewe unashindwa nini?

AMINI KUWA MAISHA YAPO BILA YEYE
Ulipozaliwa haukuwa na fikra kwamba utakutana naye na kuunda umoja utakaowaingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi. Kama zilivyo safari za watu wengine katika maisha, ukakutana naye na kuamini mtakuwa pamoja daima.

Baadaye, unakuja kusadiki msemo kuwa ‘kunguru hafugiki’, sasa baada ya kulijua hilo, unangoja nini? Amini kuwa maisha yapo hata bila yeye, achana na mawazo kuwa hauwezi kuishi bila yeye.
Ukiamini hakuna maisha bila huyo mpenzi wako anayekutesa, inakuwa ni sawa na kujifunga minyororo na kufuli nzito. Hebu jaribu kupigana kiume na kama ni mwanamke kataa kunyanyaswa, hakuna binadamu anayeshikilia pumzi ya mwingine.

NI VIZURI UJIAMINI
Suala la mapenzi ni hisia ambazo ni zoa la moyo, hivyo kusema ule ukweli, suala la kuamua kumuacha unayempenda kwa dhati siyo dogo. Linaumiza na kwa wale wenye tabia ya kurudisha taswira ya matukio nyuma, huwatoa machozi mengi.
Hata hivyo, hufikia hatua ya ‘point of no return’ kwamba sasa imetosha, nakwenda sirudi nyuma. Katika hatua hii huhitaji mtu mwenye kujiamini na jasiri kwelikweli ili kuondokana na maisha ya “roho juu” kila siku! Potelea mbali, acha penzi la balaa liondoke na kukaribisha uhuru wa nafsi.

KUWA NA MATARAJIO CHANYA!
Jitihada hazishindi kudura, ndiyo maana tunaweza kutumia fedha, akili na nguvu kuwafanya wenzi wetu watulie ili kujenga uhusiano wenye afya, lakini ikashindikana.
Kwa mantiki hiyo, ni vizuri utambue kuwa huenda Mungu hakukupangia ufurahie maisha na huyo uliye naye sasa kwa sababu yule wako “orijino” bado yupo njiani na akifika atakusahaulisha shida zote. Hiyo ndiyo sababu ya kukutaka uwe na matarajio chanya.
Yes, kama anakutesa achana naye, wako anakuja.

Mambo 6 ya kuzingatia unapokuwa katika mahusiano ya kimapenzi

Mara nyingi wengi wetu tumekuwa katika mahusiano na wapenzi wetu lakini hali sio kama ile ya awali wakati mnaanza mapenzi yenu.  Wanawake wengi wanalalamika kuwa  hawaoni upendo ule waliouzoea zamani wakati mapenzi yanaanza. Hata wanaume wengine wanalalamika pia kuwa penzi limeteremka kiwango baina yao.
Mara zote hushuka huku kwa ukaribu (intimacy) hakupangiliwi au kutazamiwa bali huja taratibu pasipo wapenzi kutambua, mara lugha hubadilika,  muda wakuwa pamoja hupungua, mambo huanza kufanywa kwa mazoea, vilivyo zoeleka kufanyika havionekani tena na taratibu hali hii ikikomaa huathiri hata tendo la ndoa. Katika hatua hii, wapenzi huanza kuchokana na kutotamaniana, hapa ndio kwenye upenyo wa mmoja au wote kuwaza njia mbadala.  Wengi walioachana au kutalikiana nao  walipitia njia hii pia.
Ili kuepuka yote haya, haunabudi kujifunza njia za kuwasha moto wa upendo kila wakati na kuongeza ukaribu (intimacy) kati yenu.
Njia za kukusaidia

1.       kucheka pamoja
Kicheko ni mlango wa ukaribu, kama mwaweza kucheka pamoja basi mwaweza kulia pamoja, na hapa mwaweza kuaminiana zaidi katika kuwasiliana hisia zenu, kama waweza kuitafuta furaha katika kila kitu basi unaweza kupenya katika vyote.  Usiwe mgumu na mwenye msimamo mkali katika kila kitu.  Jifunze kujizuia pale unapoanza kuelekea kwenye kukasirika na badala yake tumia kucheka kama mlango wa kutokea.  Kama utaanza kujizoeza  hivi ukiwa nyumbani, taratibu  utaweza ukiwa ofisini na hata kwingine kokote.

2.       Jifunzeni kutiana moyo
Kila mmoja awe msaada na tegemeo kwa mwenzake.  Jifunze kumtia moyo na kumwezesha mwenzako. Sikiliza na kufuatilia vile mwenzako afanyavyo au apendavyo.  Onyesha heshima katika vitu hivyo pia.  Kila upatapo nafasi mpongeze mbele za watu au hata unapokua nae peke yenu.  Mjenge mwenzako mbele yawengine na kubali pongezi zote za mafanikio yenu zimwendee yeye.  Mruhusu mpenzi wako ajue kuwa una mkubali katika kila afanyalo.  Zaidi tunavyo wainua wapenzi wetu ndivyo wanavyotuthamini na kutunyanyua  na sisi pia.

3.       Jifunzeni kupenda kugusana
Nguvu ya mguso wa ukaribu kamwe haiwezi kulinganishwa na chochote.  Lazima mjifunze kujenga tabia ya kugusana mara mpatapo nafasi sio tu mnapokuwa mmelala.  Kugusana huku ni pamoja na kushikana mkono mkiongea au mkitembea, kukumbatia bega, kugusa au kuchezea nyewele za mwenzako na njia nyingine zozote za kuonyesha ukaribu kimwili.   Wengi wetu huweza kufanya haya kidogo tunapokuwa peke yetu na kamwe sio mbele ya watu, Je, ni aibu? au nidhamu mbaya? au  dhambi?
Kugusana ndio mwanzo wakuamsha hisia za kuhitajiana, (hembu jiulize kisirisiri, lini umegusana na mwenzako nje ya chumbani). Kumgusa umpendaye hukuzuia kutowaza au kutovutiwa kumgusa yeyote katika ulimwengu uliojaa wengi waliopweke wanaotamani kuguswa.
Mguso huu wa upendo haumaanishi mguso wa tendo la ndoa, ingawa pia ni vema kujifunza kuijenga lugha ya mguso wa  tendo la ndoa katika  mahusiano yenu.

4.       Zungumzeni hisia zenu
Kati ya vikwazo vikubwa katika ustawi wa mahusiano mengi hususani ya wanandoa ni kutokuwepo kwa majadiliano.  Lazima wapenzi wajifunze kuzungumza kuhusu hisia zao.  Kama vile maisha yasivyo na ukamilifu, mahusiano na hata ndoa pia hazina ukamilifu.  Mpenzi wako hayuko kamili na wala wewe pia sio mkamilifu.  Jifunze kuzungumza na umpendaye jinsi unavyojisikia na nini kinachokusumbua. Kuendela tu na migogoro isiyosuluhishwa husababisha moyo kuwa baridi juu ya mwenzako, jiwekeeni muda kila wiki ninyi wawili kutoka ili kuzungumza mambo yenu.  Mwambie umpendae yapi yanayojiri kila siku na zipi changamoto zako, mkiweza kujifunza kuwekeza katika muda wa kuwa pamoja taratibu hata muda wenu wa maongezi ya simu utaongezeka.

5.       Samehe na kubali kusamehewa
Kamwe tusiache maumivu na machungu yatawale mahusiano yetu.  Lazima tujifunze kuwasamehe tuwapendao na kujisamehe sisi pia.  Kutofautiana katika mahusiano kupo sana, na lazima tuwape tuwapendao nafasi ya kuelezea vile vinavyowaudhi dhidi yetu.  Kila hisia za mmoja wetu zinaumuhimu.  Huwezi kuona vile ulivyo, mruhusu mwenzako akuambie yanayo muumiza na msameheane

6.       Linda muonekano wa mpenzi wako
Mara nyingi hatari hii hutokea tunapokuwa katika mizunguko ya huku na huko.  Ukaribu na mpenzi wako hauendelezwi tu bali pia unalindwa, pia muonekano  wetu lazima ume halisi na sio feki.  Vile tunavyoviona katika tamthilia na filamu sio ukaribu ulio halisi.  Kama tunataka tuonekane sawa na vile tunavyowaona wengine wanavyopendana basi tunakosea na kujizuia kuwa na mtazamo bora katika mahusiano yetu.  Ukianza kupata  ukaribu wa kweli baina yako na mwenzako utapoteza hisia ya kuhitaji ukaribu huo na mwingine yeyote, na badala yake utaanza kuulinda ukaribu mlionao.
Lengo liwe kuvitafuta vile vyote  mpenzi wako alivyonavyo ambavyo  hukuza ukaribu wenu.  Mwenzako awe ndio mtu wa muhimu kuliko wote katika maisha yako.

Taadhari picha zinatisha..Amwagiwa mafuta ya moto kisa wivu wa Mapenzi...




Mazingira 10 yanayopia uaminifu na upendo wa kweli katika Mapenzi..

Mambo yanayoweza kujaribu uaminifu wako
1. Magonjwa/Maradhi
Utaendelea kuwa mwaminifu na kumpenda mwenzi wako hata wakati akiwa na magonjwa na maradhi?

2. Kukosa watoto
Utaendelea kuwa mwaminifu na kumpenda mwenzi wako hata kama itaonekana amechelewa au hana kabisa uwezo wa kuzaa mtoto au hana nguvu za kuweza kukuzalishia motto?

3. Uzazi
Utaendelea kuwa mwaminifu na kumpenda mwenzi wako hata kipindi cha uzazi? Hasa kwa wanaume. Kuna wakati mke anakuwa na “complication” za uzazi na inamchukua muda mrefu sana kupona au kurudi katika hali yake ya kawaida. Utaendelea kuwa mwaminifu na kumpenda na kutunza patano lenu?


4. Maendeleo ya ghafla
Utaendelea kuwa mwaminifu na kumpenda mwenzi wako hata pale ambapo umepata fedha na mali nyingi kwa ghafla bila kutegemea? Au ndio utamuona ni mshamba, hajasoma, hajui kwenda na wakati na kumtoa kasoro kibao kwasababu sasa umefanikiwa kifedha na kimaendeleo? Ukasahau ulikotoka naye.

5. Kukosa kazi
Utaendelea kuwa mwaminifu na kumpenda mwenzi wako hata kama itatokea amepoteza kazi na kwamba hakuna anachozalisha tena na badala yake anakutegemea wewe kwa kila kitu? Utaendelea kumuona ni mwenzi wako kipenzi, Dear, honey, sweethear, baby, au ndio utamuona kama amekuwa mzigo usiobebeka?

6. Kutengana kwa muda mrefu
Utaendelea kuwa mwaminifu na kumpenda mwenzi wako hata inapotokea kwamba mmetengana kwa sababu za kimazingira? Labda amefungwa jela, amekwenda masomoni kwa muda mrefu, amehamishwa kikazi kwenda mbali usipoweza kumfikia nk. Utaendelea kuwa mwaminifu na kumpenda na kumsubiria?

7. Uzee
Utaendelea kuwa mwaminifu na kumpenda mwenzi wako hata kama anaonekana sasa amekuwa mzee tofauti na kipindi mlipoonana? Utaendelea kumpenda kama alivyo au ndio utaanza kutafuta dogodogo ambao wanaonekana wabichi?

8. Umasikini
Utaendelea kuwa mwaminifu na kumpenda mwenzi wako hata kama amekuwa masikini au anaishi maisha ya kimaskini? Au ndio utamtupa na kutafuta wale waenye nazo?

9. Kutoweza kufanya tendo la ndoa
Utaendelea kuwa mwaminifu na kumpenda mwenzi wako hata wakati itaonekana amepotez auwezo wa kushiriki tendo la ndoa? Utaendelea kumpenda na kumthamani au ndio utatafuta njia mbadala?

10. Kushindwa Kutimiza Makubaliano
Utaendelea kuwa mwaminifu na kumpenda mwenzi wako hata kama itatokea ameshindwa kutimiza baadhi ya vigezo na makubaliano mliyojiwekea

Sifa za mwanamke mnene ndani ya sita kwa sita...

Mwanamke mnene ni mtamu sana, ana joto kali sana ndani ya uke, ana nyamanyama ambazo hazimuumizi mwanaume wakati wa kutoa mastyle, mwanamke mnene akikaa style ya chuma mboga basi lile sponji la nyuma lote lasababisha maangamizi ya muda mfupi kwa yule kichwa wazi, mwanamke mnene ana degree ya kwenda miondoko ya R..N B kitandani ambayo huwa so romantic na haitoi jasho, mwanamke mnene akivua nguo akalala kifudifudi basi mkaka hata kama anaangalia mpira lazima atadata, mwanamke mnene ana sifa ya kukojoa bila kumwaga maji mengi.

Watu wanasema eti wanawake wanene wananuka na huwa na fangasi?
Aliewaambia wanene wananuka nani? wanaonuka ni kwa sababu hawajui kujisafisha.Kama mwanamke hajisafishi au sio msafi kiujumla ndio ananuka na hata kupata fungusi.

Mkubali mkatae wanaume nao wana machaguo yao, kama ni wembamba ua unene, kila mtu ana chaguo lake...ila ziwa na tako la wastani (UREJEA POST YA JANA NILIELEZEA UMUHIMU WA TAKO KUBWA) ndio mpango mzima.

Ukiwa kimbau mbau hata ukipita HUSHTUI watu.

Msichana anamlazimisha mpenzi wake amle T*go....Anaomba ushauri wako afanyeje???

Hivi karibuni kuna kijana mmoja ambaye anadai ni mwanafunzi katika chuo fulani maarufu hapa tz alini-inbox na kuomba ushauri juu ya tatizo lake kubwa ambalo linamsumbua kwa siku nyingi, Kijana huyo alidai kuwa ana mpenzi wake ambao wamekuwa ane kwa miaka mingi sasa lakini ameanza tabia ambayo hakuwa nayo ya kutaka kufanya mapenzi kinyume na maumbile kitu ambacho yeye alidai hawezi kufanya hivyo na kumfanyia mtu anayempenda kwani anajua madhara yake..Lakini kila akimwelekeza wala asikii kwa lolote na akishindwa kumpa haki hiyo basi penzi lao lipo katika hatari kubwa ya kupotea au kuvunjika..Alidai anampenda sana sasa anaomba ushauri afanyeje ilikulinda penzi lake???

Jamani kama umeguswa na swala hili naomba maoni yako ilitumsaidie mwenzetu haya ni mapenzi na kila mtu yanaweza kumkuta labda leo kwake kesho kwako au kunawengine wamesha kumbwa na mambo kama haya ila tu kwa hofu wanaogopa kuomba ushauri ila maoni yako ndiyo yatawasaidia watu hawa katika hali ya juu nomba katika hilo mdau wangu wa ukweli ...

Je ni adhabu gani anayostaili kupewa mwanaume anayempiga mke wake????




OMG!!! Msichana ajinyonga hadi kufa baada ya kumfumani Boy wake akila uroda na rafiki yake...Ingia...

Msichana mdogo na mrembo kutoka Nigeria amejinyonga hadi kufa kwa kile kinachosemekana kuwa ni wivu wa mapenzi..Msichana huyo alichukua maamuzi hayo magumu baada ya kumfumania mpenzi akitendea na rafiki yake(Kimapenzi).

Kutoka na mashuhuda wa tukio hili wanasema mwili wa msichana huyo ulikutwa nyuma ya nyumba yao sikuchache baada ya kuachana na mpenzi wa baada ya kugombana na hata jina la huyo rafiki yake anayetembea na mpenzi wake alikujulikana maana alikataa kusema....




Mahaba...Mke wangu anatamani kufanya mapenzi kinyume na maumbile

Watu hawajawahi kuridhika, na kamwe hawajapata kutoshelezwa na kitu chochote, kufikia hatua ya kushuka chini toka shimo moja hadi kulifikia shimo la tatu ili kutafuta raha zaidi. Ninazungumzia kufanya ngono kwa njia ya ulawiti (ufiraji) ambacho si kitendo chema kwa mwanamke. Idadi ya wanaume wanaowafira wake zao inakua kwa kasi. Tuliamua kufanya utafiti miongoni mwa wanawake walioolewa na wasioolewa na kugundua kuwa asilimia 33 ya wanawake wenye umri 18-44 hulawitiwa na waume au wapenzi wao. Wanaoshiriki ngono ya aina hii wanadai kuwa eneo la mkundu lina neva zinazowasisimua sana lakini wengi wao wanaelezea kuwa wanafanya hivyo kwa kuwaridhisha tu waume zao.

Wakati watu wakifurahia aina hii ya ngono, wanapaswa kujua kuwa wanajiweka katika mazingira ya kukabiliwa na athari mbalimbali za kiafya kila mara wanaporudia tendo hili.

Madhara yatokanayo na kufanya mapenzi kinyume na maumbile..

    1. Kutokwa na damu kuatia kuchanika kwa ngozi laini ya mkundu (wa ukuta / bitana inaweza Sila na uharibifu kwa urahisi kutokana na yakikwaruza).
    2. Hakuna sehemu nyingine katika mwili yenye vimelea (bakteria) kuzidi mkundu. Ni rahisi kuambikwa ugonjwa kama UTI (Urinary Tract magonjwa), pia magonjwa ya ngono, kama VVU, malengelenge, na magonjwa mengine.
    3. Kuwashwa na kuchubuka ngozi ya mboro, kutokana na mkundu kutokuwa na majimaji.
    4. Kulegeza misuli ya mkundu na kula tendo linapofanyika ndipo misuli ya mkundu inapolegea zaidi.
    5. Kansa ya njia ya haja kubwa (colony cancer)
    6. Kuongeza hatari ya maambukizi ya VVU kwa wale wanaotoka nje ya ndoa, na magonjwa mengine.

Makala mbalimbali zinafundisha kuwa athari nilizotaja hapo juu zaweza kupunguzwa endapo mfirwaji atapaka mafuta mkunduni na mfiraji akitumia kondomu. Kama mshauri na mtoa huduma ya afya, siwezi kupendekeza aina hii ya ngono. Madhara yake ni makubwa na yanaweza kumsababishia mkeo matatizo makubwa zaidi. Hivyo basi kwa nini kutafuta raha toka shimo la tatu wakati unajua unahatarisha afya ya mkeo na yako pia. Kuzingatia kuwa katika afya na hali njema kimwili ni utajiri. Kumbuka kuwa baadhi ya matatizo yanayotokana na ufiraji hayana tiba na hivyo mtu atateseka maisha yake yote.

Sijawahi kufira katika maisha yangu, nina maadili yangu na kumthamini mwenzangu. Unapohitaji kupata utamu wa ngono tumia njia ya asli. Hata kama mkeo atakusihi, kumkubalia sio kumpenda – ni KUMHARIBU.

Tambua maneno haya muhimu ukiwa na Msichana Chumbani......You must read!!

1. Ukiwa na msichana chumbani kwako kisha anakuambia funga pazia chumba kiwe giza sipendelei mwanga, unafanya hivyo kisha unakuwa kama zimwi ujauelewa ujumbe wake hapo. My broad wewe ni bonafide dumb

2. Pindi akikuambia anajisikia baridi kisha unazima AC unawasha fan. My broad wewe ni bigwa wa kutoelewa ujumbe.

3. Pindi mkiwa mnatazama movie nzuri kisha anakuambia ainjoy then unamuambia muangalie movie nyingine anakuambia HAPANA… kama utakuwa bado ujampata ujumbe wake wewe ni boya katila level ya Master’s

4. Kama atakuambia ataondoka muda siyo mrefu akawa anakukumbusha kila baada ya dakika kadhaa kupita ukawa ujaelewa ujumbe wake. Wewe ni boya katika level ya PHD

Je wajua maana ya kwenda pwani wewe? Ni pwani kweli lakini…kuangalia hapa uwe na umri wa 18+ BurudaniFashenimapenzi..Picha zote hizi hapa

Naenda pwani ni neno la kawaida kwa mtu yoyote anaishi karibu na bahari, lakini neno hilo lina maana nyingine kabisa kwa wakazi wa kijiji cha Bwe juu, huko Mafia Mkoa wa Pwani. 
Mwanakijiji wa Bwe juu akikwambia naenda pwani usidhani kwamba anakwenda kuvua, kuoga, kupunga upepo mwanana wa bahari pamoja na kupoangalia mawimbi makubwa ya bahari, laahasha kuna jambo muhimu sana anakwenda kulifanya akiwa huko pwani. 

Ukimsikia mtoto, kijana na wazee wanakwambia wanaenda pwani ujue wanaenda kujisaidia haja kubwa, na sio kwenda pwani kama walio wengi wanavyotambua neno hilo la kwenda pwani.  Kama umetoka bara wewe lazima uachwe ukishangaa.

Wakazi wapata 1000 katika kijiji hicho wanajisaidia haja kubwa katika fukwe nzuri za kijiji hicho, kwa sababu hawana uwezo wa kuchimba vyoo vya kudumu, ambavyo gharama yake ni kubwa sana ukilinganisha na kwenda kujisaidia ufukweni. 

“Gharama ya kuchimba choo cha kudumu kwa kutumia matofali ni kubwa sana kwa sababu eneo la kijiji hiki lina mchana mwingi sana, kwa hiyo ukichimba shimo la choo linabomokea mpaka ulijengee kwa matofari, ambayo mpaka uyatoe huko kilindoni”, alisema Hassan Bashiri Mwenyekiti wa kijiji hicho. 

Hiyo imesababisha samaki wanaovuliwa katika eneo la kisiwa kidogo cha Bwe Juu, kuwa watamu sana kuliko samaki wanaovuliwa sehemu nyingine tofauti na hapo.  Hassan Bashiri anasema kuwa kijiji hicho kina nyumba zipatazo 150 kati ya hizo nyumba tatu tuu ndio wamechimba choo vya kudumu, nyumba nyingine 147 hawana vyoo na wote wanakwenda kujisaidia katika fukwe za bahari katika kijiji hicho.

Kasimu Hamisi (35) ni mkazi wa kijiji hicho anasema kuwa, hata yeye hajawahi kuchimba choo hata siku moja, yeye na familia yake ya watoto watatu wanakwenda kujisaidia katika fukwe za bahari kila siku.

“Kila siku mie na mke wangu tunakwenda kujisaidia katika fukwe za bahari tukiamka tuu na jioni, ndio tumezoeya kujisaidia kwenye fukwe toka mie nazaliwa katika kijiji najisaidia kwenye fukwe hadi watoto wangu nao wanajisaidia humo humo.” Alisema Kasimu

Mohamed Athumani (75), mzaliwa wa kijiji hicho naye pia anakwenda kujisaidia katika fukwe za bahari, anasema kuwa sababu kubwa ya kutochimba vyoo vya kudumu toka kipindi cha ukoroni ni kutokana na  kuwa na mchanga mwingi katika kisiwa hicho na choo ukichimba baada ya siku tatu kinabomokea.

“Suala la kukosa vyoo kwa wakazi wa kijiji hiki ni cha kawaida tuu, sio hivi sasa tokea kipindi hicho cha ukoloni kulikuwa hakuna vyoo, mpaka sasa watu wanaishi bila ya vyoo na maisha yanakwenda siku hadi siku, tena samaki wa kisiwa hiki kidogo ni watamu sana tena wanatofautiana na samaki wanaovuliwa huko kilindoni kwa sababu ya wanakula kinyesi cha binadamu.” Alisema Mzee Athumani.

Asenga Michael ni mfanyabiashara wa kugandisha samaki wabichi pamoja na kuuza samaki wanaovuliwa kwenye kisiwa hicho, anasema kuwa wateja wengi wanaofika katika duka lake wanataka kuuziwa samaki wanaotoka kisiwa kidogo cha Bwe Juu.

Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mafia, Dokta Credianus Mgimba, anasema kuwa, kuna kesi nyingi sana ya magonjwa ya kuambukiza kama matumbo ya kahara, kuhara damu, homa ya matumbo (Typhoid), hii inatokana na baadhi ya wakazi wa visiwa vidogo kutokuwa na vyoo na kujisaidia kwenye fukwe za bahari.

“Dawa nyingi tunazoomba kutoka bohari ya madawa ni dawa za magonjwa ya kuhara hii inatokokana na wakazi wengi kujisaidia ovyo katika fukwe pamoja na kuoga katika bahari baada ya kujisaidia,” alisema Mgimba.

<<BOFYA HAPA KUONA PICHA>>
picha
picha

Mahabati!!!!Mwanafunzi afumaniwa Gest-Sinza na mume wa dada yake...Mkasa mzima uko hapa

Mwanafunzi huyo alikamatwa akivunja amri ya sita live akiwa na mume wa dada yake, Kitendo hicho ambacho dada alikuwa akimuhisi mume wake akitembea na mdogo wake na ndipo alipotega mtego ili agundue kama hisia zake ni za kweli na ndipo alipo kuwa akifuatilia nyendo za na kugundua kuwa ni kweli mumewe anangonoka na mdogo wake baada ya kuwafumania GEST sinza ambapo katika tukio hilo mwanaume alifanikiwa kukimbia bila ya kupigwa picha...

Chumbani!!! Jifunnze s3x styles za kupeana raha na utamu

Nianze kwa kuwatakia siku njema kabisa ya Alhamisi disemba 4, ikiwa ni ishara kwamba mwisho wa mwaka unakaribia. Ni jambo la kumshukuru Mungu kwamba tumekuwa miongoni mwa waliochaguliwa kuuona mwezi huu, ingawa yatupasa tuombe sana ili tuumalize. Maana mnajua kwa kiasi gani wapendwa wetu walivyopotea na hatutawaona tena.

Mada yangu leo kama unavyoweza kuiona hapo juu kwenye kichwa chake cha habari, inawazungumzia zaidi akina dada, kwa sababu zilizo wazi kabisa kwamba, wao ndiyo maua ya dunia, bila wenyewe hata maisha sijui yangekuwaje.

Ni jambo la kweli kwamba mara nyingi wanaume ndiyo wanaokuwa wa kwanza kutangaza nia kwa mwanamke tofauti na inavyokuwa kinyume chake. Inapotokea mwanamke ‘anamtokea’ mwanaume, huwa ni gumzo na siyo ajabu kukuta mwanaume akikataa, anaona kama vile anategewa au mwanamke anayemtongoza ana kasoro.

Kwa wanaume, wengi wao hupenda baada ya kukubaliwa katika kutongoza kwao, kinachofuata kiwe ni tendo la ndoa na si vinginevyo wakati kwa wanawake, baada ya kukubaliwa, wao hupenda kwanza wazoeane kwa maongezi, vijizawadi na mitoko ya hapa na pale kabla ya kuhitimisha kwa tendo.

Hii ni hulka ambayo imeendelea hadi kujenga mazoea, kiasi kwamba wanaume wakimpata mwanamke wa kushiriki naye tendo siku ya kwanza tu ya kukutana kwao, huwaona kama wasiofaa. Wamezoea wakikubaliwa, wazungushwe japo siku mbili tatu kabla ya kumalizana.

Sasa utamu unakuja pale mwanaume baada ya kukubaliwa, kwa kawaida, atatoa mwaliko kwa mwenzake kwa ajili ya mazungumzo, mara nyingi huwa ni hotelini kwa ajili ya chakula cha mchana au kwa wanywaji basi hukutana eneo zuri kwa ajili ya kujipatia mbili tatu.
Inaweza kuwa siku ya kwanza, ya pili na pengine kwa siku kadhaa. Katika kipindi hicho, mwanaume atakuwa ametoa ofa kama hivyo ya vinywaji, vocha na hata pesa kwa mwenza wake. Uzoefu unaonyesha kuwa mara nyingi wakaka wanapoulizia kuhusu faragha, hukutana na maswali au majibu kama “yaani mbona wewe una haraka? Harakaharaka haina Baraka”.

Na hata wengine huwaambia maneno kama “Yaani wewe hicho ndicho unachokiwaza.” Kauli hizi za akina dada huwa na nia ya kupunguza spidi ya jamaa wenye uchu. Kama nilivyodokeza pale juu, kwa mujibu wa mazoea yaliyojengeka, inatarajiwa kuwa walio katika uhusiano watachukua muda kidogo kabla ya kufikia hatua ya kushiriki tendo.

Lakini wakati akina dada wamekuwa wakisisitiza kutokuwa na haraka ya kushiriki tendo kwenye uhusiano mpya, uzoefu pia unaonyesha wao huwa hawasubiri kabla ya kuanza mambo yao. Katika siku ya kwanza ya kutongozwa na kukubali, kesho yake wataanza kuomba vocha.

“Baby naomba vocha niongee na mama, yaani nimemmiss sana,” utasikia msichana akimwambia mpenzi wake. Baadhi ununua muda wa maongezi kweli, lakini wengi wao huchuma hela kutegemea na uzuri wa mdada.

“Baby naomba niongezee elfu ishirini kuna kitu nataka kununua hapa nitakurudishia..” wengine huja na kauli kama hizi. Kifupi ni kwamba wasichana wengi huwasumbua wenza wao wapya kwa staili kama hii. Maombi kama haya huwafanya wanaume wahangaike sana kuwatimizia wapenzi wao, lakini pia huwaumiza sana kisaikolojia.

“Hivi kama huyu anaanza kupiga mizinga hata hatujafahamiana vizuri, hivi akishakuwa mpenzi wangu si ndo balaa,” baadhi ya akina kaka hujiuliza. Na hivyo kujikuta wakibaki njia panda wacjue la kufanya na hatimae wanaachana au kuzaraulia kwa mambo ya haraka haraka ya siyo kuwa na maana.

Chumbani zaidi!!!! Acha haraka jifunze kuwa na subhira...

Nianze kwa kuwatakia siku njema kabisa ya Alhamisi disemba 4, ikiwa ni ishara kwamba mwisho wa mwaka unakaribia. Ni jambo la kumshukuru Mungu kwamba tumekuwa miongoni mwa waliochaguliwa kuuona mwezi huu, ingawa yatupasa tuombe sana ili tuumalize. Maana mnajua kwa kiasi gani wapendwa wetu walivyopotea na hatutawaona tena.

Mada yangu leo kama unavyoweza kuiona hapo juu kwenye kichwa chake cha habari, inawazungumzia zaidi akina dada, kwa sababu zilizo wazi kabisa kwamba, wao ndiyo maua ya dunia, bila wenyewe hata maisha sijui yangekuwaje.

Ni jambo la kweli kwamba mara nyingi wanaume ndiyo wanaokuwa wa kwanza kutangaza nia kwa mwanamke tofauti na inavyokuwa kinyume chake. Inapotokea mwanamke ‘anamtokea’ mwanaume, huwa ni gumzo na siyo ajabu kukuta mwanaume akikataa, anaona kama vile anategewa au mwanamke anayemtongoza ana kasoro.

Kwa wanaume, wengi wao hupenda baada ya kukubaliwa katika kutongoza kwao, kinachofuata kiwe ni tendo la ndoa na si vinginevyo wakati kwa wanawake, baada ya kukubaliwa, wao hupenda kwanza wazoeane kwa maongezi, vijizawadi na mitoko ya hapa na pale kabla ya kuhitimisha kwa tendo.

Hii ni hulka ambayo imeendelea hadi kujenga mazoea, kiasi kwamba wanaume wakimpata mwanamke wa kushiriki naye tendo siku ya kwanza tu ya kukutana kwao, huwaona kama wasiofaa. Wamezoea wakikubaliwa, wazungushwe japo siku mbili tatu kabla ya kumalizana.

Sasa utamu unakuja pale mwanaume baada ya kukubaliwa, kwa kawaida, atatoa mwaliko kwa mwenzake kwa ajili ya mazungumzo, mara nyingi huwa ni hotelini kwa ajili ya chakula cha mchana au kwa wanywaji basi hukutana eneo zuri kwa ajili ya kujipatia mbili tatu.
Inaweza kuwa siku ya kwanza, ya pili na pengine kwa siku kadhaa. Katika kipindi hicho, mwanaume atakuwa ametoa ofa kama hivyo ya vinywaji, vocha na hata pesa kwa mwenza wake. Uzoefu unaonyesha kuwa mara nyingi wakaka wanapoulizia kuhusu faragha, hukutana na maswali au majibu kama “yaani mbona wewe una haraka? Harakaharaka haina Baraka”.

Na hata wengine huwaambia maneno kama “Yaani wewe hicho ndicho unachokiwaza.” Kauli hizi za akina dada huwa na nia ya kupunguza spidi ya jamaa wenye uchu. Kama nilivyodokeza pale juu, kwa mujibu wa mazoea yaliyojengeka, inatarajiwa kuwa walio katika uhusiano watachukua muda kidogo kabla ya kufikia hatua ya kushiriki tendo.

Lakini wakati akina dada wamekuwa wakisisitiza kutokuwa na haraka ya kushiriki tendo kwenye uhusiano mpya, uzoefu pia unaonyesha wao huwa hawasubiri kabla ya kuanza mambo yao. Katika siku ya kwanza ya kutongozwa na kukubali, kesho yake wataanza kuomba vocha.

“Baby naomba vocha niongee na mama, yaani nimemmiss sana,” utasikia msichana akimwambia mpenzi wake. Baadhi ununua muda wa maongezi kweli, lakini wengi wao huchuma hela kutegemea na uzuri wa mdada.

“Baby naomba niongezee elfu ishirini kuna kitu nataka kununua hapa nitakurudishia..” wengine huja na kauli kama hizi. Kifupi ni kwamba wasichana wengi huwasumbua wenza wao wapya kwa staili kama hii. Maombi kama haya huwafanya wanaume wahangaike sana kuwatimizia wapenzi wao, lakini pia huwaumiza sana kisaikolojia.

“Hivi kama huyu anaanza kupiga mizinga hata hatujafahamiana vizuri, hivi akishakuwa mpenzi wangu si ndo balaa,” baadhi ya akina kaka hujiuliza. Na hivyo kujikuta wakibaki njia panda wacjue la kufanya na hatimae wanaachana au kuzaraulia kwa mambo ya haraka haraka ya siyo kuwa na maana.
Older Posts
© Copyright MAPENZI Published.. .
Back To Top