> Vijana wanaofanya biashara ya kusafisha kucha za wakina dada....Wanaume kuwe makini na wake zenu | MAPENZI

Vijana wanaofanya biashara ya kusafisha kucha za wakina dada....Wanaume kuwe makini na wake zenu



Kama wewe ni mwanaume, huenda si wa kwanza kujiuliza maswali kila uonapo wanawake wengi wakiwa wamejipanga mstari kusafishwa kucha, kupakwa rangi kucha na kuoshwa miguu na vijana mbalimbali walioamua kujiajiri wenyewe.

Ni biashara maarufu mjini na ambayo inazidi kukua kila kukicha. Katika biashara hiyo wanawake husafishwa kucha na kuoshwa miguu na wakati mwingine hadi sehemu za mwili za wanawake zinazokaribia maeneo ya mapaja (sehemu sensitive haswaa). Je! Shughuli hii ina madhara katika mahusiano? Vijana hawa wanaaminika?

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright MAPENZI Published.. .
Back To Top