> Picha zinatisha!!Madhara ya vipandikizi za kukuza makalio na sehemu nyingine za mwili | MAPENZI

Picha zinatisha!!Madhara ya vipandikizi za kukuza makalio na sehemu nyingine za mwili









Muda mingi huwa tunasema kama unataka kufanya mambo yako kwa faida zako mwenyewe basi ni vizuri ukawa mwenyewe na nafsi yako maana hakuna siri ya watu wawili hapa duniani...Kwahiyo vitu vyako vya siri viweke viwe vya siri kwa faida yako na kulinda heshma yako pia..Ukatazwi na mtu kupiga picha za utupu hata ukikaa staili gani lakini kama ni kwa faida yako ila utakapo mtumia mtu mwingine tambua kwamba Dunia ni kama kijiji hivyo basi lazima itasambaa na kila mtu ataiona....

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright MAPENZI Published.. .
Back To Top